The Fixer
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 1,365
- 596
Bunge lililojaa walanguzi na wala rushwa!
Una maanisha na Mr Mbowe ?
Bunge lililojaa walanguzi na wala rushwa!
Una maanisha na Mr Mbowe ?
Nashukuru sana Mkuu..sema ni kwa kusikiliza tuu..Asante sana.
Kasema ataleta majibu bungeni muda wowote kuanzia sasaNini majibu ya PM katika saga hilo?
Kwani adhabu yao si inaisha leo?! Waliokuwa cöncern na hiyo adhabu ni lissu, wenje,msigwa, kiwia , sugu na lema.
Ni lini CCM itatoka madarakani? Toa tarehe au uchaguzi upi?
Pinda: wakati wowote kuanzia sasa.
Mnyika: kwikwikwikwi..
mkuu Naomba utupie Link yake hapa tucheki...
mfumo wa stakabadhi ghalani unachambuliwa.
Hii lazima pinda alie tena bungeni