Mimi naitwa Rehema naishi Dar, Elimu yang ni Kidato cha nne naomba kwa yeyote anayeweza kunsaidia kupata kazi hasa ya Dukani, Supermarket, Hotelin n. k anipm. Na Mungu awabariki sana sana
Mkuu kulikua na deadline nyngne tar 25/5/2017 na nyngne tar 30/5/2017 kwa Dar lakin. So ndo mana nmeulza coz mda ushapita kwa upande wa dar, then Mwanza na mikoa mingne bado had tar 8 mpaka 13,So usiwakosoe watu kihvo ndugu yang
Napenda kuleta uzi huu Jf kwa Wapendwa Mlioomba Kazi Tanesco.
Kwa anaejua anaweza kunisaidia. Labda kama kuna yeyote anaejua au ameitwa Interview Tanesco au kama wametoa Majina ya waliochaguliwa TUFAHAMISHANE JAMANI,
Tucje kusubir kuitwa kumbe wengne washaanza kazi kabisa.
Asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.