Tanzania inajitaji akina MAGUFULI kama 20 kwa pamoja ndipo akili yetu inaweza kukaa kwenye mstari!
Watendaji sa serikali wengi ni mzigo kwa wananchi. Hizi bodi na idara nyingi wanakula pesa wasiyoifanyia kaz. Wanalelewa na wananchi
Nilisoma gazeti moja mahali wakasema Tz imeongeza kwa KASI YA UKUAJI WA UCHUMI katika nchi za Afrika Mashariki, ikifuatiwa na kenya. Takwimu zilizoonyeshwa nazikumbuka kama Tz 6.8% na Ke 6.2%, kitu kama hicho.
Sasa iweje tena uchumu umedororaa?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.