Recent content by isaacshamsi

  1. I

    RPC Arusha: Tunamshikilia mmiliki wa shule ya Lucky Vicent, atapelekwa mahakamani

    Kuchunguza nini tena??[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
  2. I

    Agizo la Rais kunyang'anywa Passport Mkandarasi wa Maji

    Hajanyang'anywa kwamba si yake tena bali imechukuliwa ili kumdhibiti asiondoke eneo la kazi
  3. I

    Bodi ya Pamba: Mfano wa kuigwa Duniani

    Tanzania inajitaji akina MAGUFULI kama 20 kwa pamoja ndipo akili yetu inaweza kukaa kwenye mstari! Watendaji sa serikali wengi ni mzigo kwa wananchi. Hizi bodi na idara nyingi wanakula pesa wasiyoifanyia kaz. Wanalelewa na wananchi
  4. I

    Hamna kitu kinachokera duniani kama kuwa na shemeji ambaye masikini na hana msaada na wewe

    Hivi humu bado ni HOME OF GREAT THINKERS au status ilishabadilika??
  5. I

    Chama cha Mapinduzi(CCM) wamtoa machozi Eric Shigongo, wamwambia kunywa maji

    Aliipamba sana CCM, wakawadharau waliotaka mabadiliko. Walisema CCM ndiyo italeta mabadiliko ya kweli. Na kweli yamekuja!!
  6. I

    NETANYAHU's speech on Africans and Arabs

    Urongo...hakusema yeye
  7. I

    Tuzo ya Forbes ni Uongo, wapotoshaji wakamatwe na kufikishwa mahakamani

    'People of Rwanda" ndiyo akina nan!?? Mashindano mengine banaa...
  8. I

    Samaki alieonekana fukwe ya bahari ya Lindi ahifadhiwe vizuri

    Yeah! Angalau mifupa yake ingehifadhiwa!
  9. I

    Taasisi ya TWAWEZA yazindua ripoti yake kuhusu Demokrasia, Udikteta na Maandamano

    Hivi TWAWEZA ni taasisi inayohusika na nini??
  10. I

    Ndege Mpya ya ATCL katika picha

    Bila kubadilisha AKILI hii iliyokuja itakufa na hata wakiletewa helicopter nayo itakufa tuu.
  11. I

    Msafara wa Magari ya Jeshi la Kenya ukielekea Bukoba kutoa msaada kwa wahanga wa tetemeko

    Hivi wale maaskari na wanajeshi waliokuwa wanafanya mazoezi hadharani havi majuzi, wako wapi????
  12. I

    Kwa mujibu wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Hali ya uchumi ni mbaya

    Nilisoma gazeti moja mahali wakasema Tz imeongeza kwa KASI YA UKUAJI WA UCHUMI katika nchi za Afrika Mashariki, ikifuatiwa na kenya. Takwimu zilizoonyeshwa nazikumbuka kama Tz 6.8% na Ke 6.2%, kitu kama hicho. Sasa iweje tena uchumu umedororaa?
Back
Top Bottom