Makonda tukimpa thread nyngi ni kiki ya kugombea ubunge nyamagana aache hizo wapo tuliowaamini waadilifu leo wamapambanishwa mabehewa feki na rafiki six ndo kasitisha uingizwaji wa hayo makontena sasa makonda ni nani?
Mbwa kuwa mkali inategemea ulivyomfuga km ni mkubwa lakini km bado mdogo jaribu kufanya asizoee kila mtu uwe unamfungia awe na mda maalum wa kufunguliwa
Hapo bora ajulikane mvaa bendera wengi tulimfaham kwa siasa za majukwaani unamweka kundi moja na kibajaji ila alivyopewa nafas ametuonesha ye ni mtu tofauti kidogo ila huyo kigoma all starz bora awe kimya tu mana aliibiwa yeye miescrow kibao ya kigen na ya madafu(jk) sa itakuwa wizaran akiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.