na hata wakati mwingine tunapata shida kusema aksante kwa housegirl, ye ndo kaandaa chakula, na anakusubiri umalize kula ili atoe vyombo, nguo kafua, kakunyooshea, maji kakuwekea bafuni/kaandaa bafu, ni nani wa kumshukuru kama si yeye? na ukisema shsante kisha mke akasikia ujue vita kati ya mke...