Uislamu tena? tafakari kabla ya kuandika, hao uliowataja sio waafrika wa rangi ni waafrika jina yaani ni waarabu na wahindi, so nitajie basi muislamu ngozi nyeusi hapo, utakua umevurugwa kabla ya kuanfika ndo ukaleta dhana ya udini hapa.
Mkuu hata historia ya Wakurya inaonesha walitoka Misri, wakapita Sudan na mpaka leo Sudan kusini kuna Wakurya, wakaingia Kenya na kufika hadi kusini mwa Kenya mpaka leo kuna Wakurya waishio huko, wakaja mpaka kaskazini mwa Tanzania ndo wakurya wa Tanzania unavyowaona leo., huu ni mfano tu kuwa...
Muda kabla ya bao mbona kusmile sana tu hata storx zinaenda huku unagegeda bt muda wa bao sasa ndo utata, smile inakuja na mshangao wa ubongo hujakaa sawa uso unabadilika, jrb kuweka kioo then uone km hiyo huwa ni smile au mkunjo wa uso.
Piga picha upo kwenye game ya sita kwa sita, unafikia hatua ya kutoa wale wazungu, hapo uso unabadilika km unataka kukata roho na muda huo mwanamke anakuangalia unavyohangaika na uso ulivyouweka na kufikia hata wanaume wengine kulia kabisa, lakini huwezi kukuta mwanamke anakwambia au kukutangaza...
Ninacho shangaa zaidi, ni pale jansia ya ke mnatokwa na povu kuchunguzwa simu zenu, inaonesha mmejaza mautumbo kwenye hizo simu zenu, kwa akili tu ya kawaida huoni km imemsaidia kujua mpenzi aliye naye sio sahihi kuendelea naye?, unafikiri hiyo laana ni jambo la mzaha kulileta kwako?, tafakari...
Nimekaa kwa muda mkoa mara, hasa wilaya ya Tarime, Serengeti na Musoma mjini, mwanzoni nilijua watu wa kabila hili ni wakorofi sana, baadae nikagundua si kweli, wakurya ni watu wakarimu sana, wana upendo kwa wageni na pia hawana majivuno, isipokua kitu ambacho hawapendi maisha yao yote ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.