Bwana awe nanyi,
Nimekuja kwenu nahitaji ushauri, ni urgent.
Hapo katikati niligundua kuwa Mr wangu ana kimada, tukasumbuana na kugombana sana juu ya hilo, ingawa sikumshika live ila ni wazi kwamba alikua nae, mbali na hilo pia ni mlevi kupindukia.
Nilipoona suala hilo linaendelea nikaona...
Wekeza akili zako katika kutafuta pesa na kuimarisha uchumi wako, achana na vitu visivyokua na tija kwako, this is street boys talk huwezi kuta watu walio kwenye corporate world wanajadili vitu hivi
Ukishakua na uchumi mzuri unaweza ku afford chochote kile mfano kulipia gym, balanced diet, etc...
Mawazo potofu hayo, angalia michango mingi ya wanawake yanapingana na dhana yako, wengi tunaamini na ndivyo ilivya kwamba, mke ndie anapaswa kufua nguo za baba hasa za ndani, nguo zingine za baba ni sawa zinaweza kufuliwa na hg kutokana na mama kuwa busy na utafutaji, lakini nguo za ndani mama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.