Recent content by irene naipanoi

  1. I

    Huyu Dereva tax atanivunjia ndoa yangu, nifanyeje?

    Bwana awe nanyi, Nimekuja kwenu nahitaji ushauri, ni urgent. Hapo katikati niligundua kuwa Mr wangu ana kimada, tukasumbuana na kugombana sana juu ya hilo, ingawa sikumshika live ila ni wazi kwamba alikua nae, mbali na hilo pia ni mlevi kupindukia. Nilipoona suala hilo linaendelea nikaona...
  2. I

    Wanaume: Kwanini hampendi ndugu wa wake zenu?

    Hii ishu nahisi kama ni vice versa, maana nyumba nyingi utakuta ndugu wa mke ndo wamelundikana hapo, wa Mme ni wa kuja na kuondoka
  3. I

    tupeane possible za kesho form 4

    Hivi humu ndani kumbe kuna watoto wa sekondari, ndio maana watu wanapoomba ushauri wa ndoa wanapewa majibu ya ajabu ajabu kumbe kuna watoto, aisee
  4. I

    Kwa wanawake ambao hajawahi kufika kileleni karibuni hapa

    Haya ndio mawazo ya vijana wetu kila kukicha
  5. I

    Vijana acheni chipsi yai: Kula dona dagaa ujenge heshima kitandani

    Wekeza akili zako katika kutafuta pesa na kuimarisha uchumi wako, achana na vitu visivyokua na tija kwako, this is street boys talk huwezi kuta watu walio kwenye corporate world wanajadili vitu hivi Ukishakua na uchumi mzuri unaweza ku afford chochote kile mfano kulipia gym, balanced diet, etc...
  6. I

    House girl kufua boxer zangu ni sawa kweli?

    Mawazo potofu hayo, angalia michango mingi ya wanawake yanapingana na dhana yako, wengi tunaamini na ndivyo ilivya kwamba, mke ndie anapaswa kufua nguo za baba hasa za ndani, nguo zingine za baba ni sawa zinaweza kufuliwa na hg kutokana na mama kuwa busy na utafutaji, lakini nguo za ndani mama...
  7. I

    House girl kufua boxer zangu ni sawa kweli?

    Hukumlamba huyo hg kweli?
  8. I

    Sababu zinazopelekea wasichana wa kileo mpigwe chini

    Wanawake wa kileo ni wapi hao?
Back
Top Bottom