Recent content by IraqwMan

  1. I

    JamiiForums Tanzania Haya mafuta ya kupikia yaliyotumika yanakusanywa kwa ajili ya kazi gani?

    Recycle Cooking Oil Some cities/companies have collection programs for recycling used cooking oil into biodiesel. Biodiesel is a clean-burning fuel that is used in many types of motor vehicles (often city trucks and fleet vehicles) and can be used as heating oil. Biodiesel is liquid fuel...
  2. I

    JamiiForums Tanzania Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

    Hapana sijawahi
  3. I

    JamiiForums Tanzania Wapi/ Eneo gani kwa Dar wanapima madini na kujua aina yake?

    African Minerals and Geosciences Centre (AMGC) wapo Kunduchi. African Minerals and Geosciences Centre 022 265 0347 https://maps.app.goo.gl/Gc2hLnRvaZ16Y2ho6 Laboratory Services Analysis of Precious & base Metals Water Analysis Wet Chemistry Mineralogical and Petrological Gemmological and...
  4. I

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi

    Sayuu...
  5. I

    JamiiForums Tanzania App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi

    Nimeipenda ...user friendly. Hongereni mkuu!!
  6. I

    JamiiForums Tanzania Ujenzi wa barabara ya Kimara-Kibaha wapamba moto

    Itakuwa alikuwa anazungumzia "pile foundation"...nguzo za msingi ambazo hazionekani kwa juu,zinajengwa kuelekea ardhini ambazo ndio zinakuja kubeba madaraja yenyewe.
  7. I

    JamiiForums Tanzania Msaada mahali yalipo makao makuu ya NIDA

    Makao Makuu ya NIDA yapo KIBAHA, Mkoa wa Pwani.
  8. I

    JamiiForums Tanzania Ni sahihi mimi kulipa gharama hizi za umeme?

    Inawezekana kuna tatizo la Earth system (Earth wire) or Grounding system (Earth rod)...tafuta fundi mwenye utaalam wa hayo mambo aangalie (apime).
  9. I

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa kuchangiwa Bima ya Afya (NHIF) ili kuokoa maisha yangu

    Sawa nitamtafuta ili niongee nae, ingawa siku za kwenda pale tunapishana, mie huwa nipo Jumatano na Jumamosi. Suala la group ni wazo zuri ila magroup yanachangamoto zake...bora kushauriana na kupeana moyo kwa kuonana physically Serikali imesaidia sana kwakweli na tunaishukuru mno...kumbuka...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa kuchangiwa Bima ya Afya (NHIF) ili kuokoa maisha yangu

    Ni kweli nina uzoefu, (miaka 6 sasa), Kwanza ushauri wangu ni kuendelea kumchangia kwanza, Pili, kuna mahala nimeona na kusikia kuwa mwezi ujao kutakuwa na habari nzuri kutoka bima kuhusu gharama kwa ujumla kwa watu wa private...swali ni je itagusa na sie wa dialysis? (kama product mpya...
  11. I

    JamiiForums Tanzania Naombeni msaada wa kuchangiwa Bima ya Afya (NHIF) ili kuokoa maisha yangu

    Nampa pole kwa kuumwa ndugu yetu, naelewa anayopitia kwa sasa, ila nampa moyo asikate tamaa na Mwenyezi Mungu atambariki. Mie pia napitia hayo hayo hapo kwenye dialysis, yote anayoeleza ndugu yetu ni sahihi kabisa...hasa ukiwa huna Bima ya Afya, ulipie 60,000 za session 2 za dialysis kwa...
  12. I

    JamiiForums Tanzania Tiba mbadala ya chumvi: Sehemu ya kwanza

    Magical Properties of Salt - Protection, Purification, Healing The Spiritual Power of Salt
  13. I

    JamiiForums Tanzania Taa za barabarani zilizowekwa Bagamoyo road ni kero, zitolewe au zirekebishwe!

    Hizo taa ni kero kubwa kwa sasa, kwanza zimeongeza msongamano sana, kwa mfano mchana ukiwa unatokea upande wa Shabaha barabara ya Africana kuja kwenye mataa inaweza kukuchukua dk 45 kuvuka junction ya Africana sababu taa zinakuruhusu kwa sekunde 15 tu...yaani yanaweza pita magari 2 au 3 tu...kwa...
  14. I

    JamiiForums Tanzania Stiegler's gorge hydropower project

Back
Top Bottom