Recent content by iqson

  1. I

    Alichokifanya dada huyu siku moja kabla ya harusi

    Mwe Mwe Mwe ameyataka mwenyewe na uzinzi wake asubiri matokeo tu hapo
  2. I

    Naomba msaada wa kupata namba ya Eric Shigongo tafadhali

    Nenda mpaka Bamaga uliza ofisi za shigongo utaonywesha ukifika pale utapata namba Yake kwa urahisi zaidi
  3. I

    Hii ni kwa ajili ya single mother

    wanaume wengi hawapendi watoto Niwa binafsi Sana mpaka mpelekane mahakamani ndio atoe Sasa unakuta mwanamke tayari anauwezo anaona bora amlee mtoto peke yake ili apunguze maudhi
  4. I

    Enyi wanawake mlioolewa kuweni makini sana na waume zenu unapoleta mdogo wako wa kike

    Aisee mwambie huyo shemeji aondoke kabla maafa hayajatokea nakuvuruga ndoa ya Dada Yao
  5. I

    Amebadilika sana, nikimuuliza anasema yupo bize

    Aisee boys ndorobo Sana
  6. I

    Nahitaji mbinu za kumuondoa huyu mgeni, ni mwezi sasa haondoki

    Naomba kujua kabila la baba Mkubwa ili nijue cha kukushauri
  7. I

    Mtoto wa mke wangu amenishinda, anaelekea kuvunja ndoa yetu

    Kapari Hongera Sana umetoa ushauri mzuri Sana
  8. I

    Nimekutana na mwanamke, kanitoroka

    Hongera Eric kwa ujasili
  9. I

    PICHA: Tofautisha kati ya Magufuli na Lowassa

    Pole Sana fox kwakufumbwa ufahamu kiasi hicho hadi kwamba umeshajua sekunde moja tu iliyopo mbele yako?
  10. I

    Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

    Hivi wewe dume unajua hata sekunde moja yako iliyopo mbele yako? Ooh kajifia we utaishi milele hakuna ajuaye Siku wala saa acha kashfa sisi sote nimavumbi namavumbini tutarudi
  11. I

    Yaliyojiri: Lowassa kuchukua fomu ya Urais Makao Makuu ya CHADEMA

    Hongera Sana mkuu kwakuleta changamoto kwenye vichwa vya CCM maana unaumiza vichwa kweli huku mjengoni
  12. I

    Binti wa miaka19 anahatarisha uchumba wangu, mchumba namuona mzee

    Labda wewe una miaka mi ngapi ? Halafu tujaribu kukushauri
  13. I

    Inawahusu wanawake (Ujumbe kutoka kwa Mchungaj wangu wa kiroho)

    Mhh mtoa mada yashamkuta sio Bure Anataka kulelewa tu Hana lolote ni bible ipi iliyoandikwa mwanamke akatafute hela kwanza
Back
Top Bottom