Duuuuh akil kumukichwa
Kitanda hakizai kharamu...
"Kidali poo kalale nacho"
Alitembea na mpenzi wake wa zamani kama kuagana baada ya muda akiwa kashaolewa anagundua ni mjamzito kufanya utafiti anagundua mimba ni ya mpenzi wake wa zamani.
Sasa anaomba ushauri amwambie au afanyaje kutatua tatizo kwani amekonda kwa mawazo.
Utafiti aliufanyaje??????