Nimekutana na mwanamke, kanitoroka

Nimekutana na mwanamke, kanitoroka

Kama sio ya kutunga kwann umeshindwa kutaja I'd yake ili kuwaepusha. Wengine?shame on u
 
Rudi PM umuulize fresh tatizo ni nini, + utakuwa na number yake i'm sure. Ukute game ilikuwa below par na hakutaka kudanganya wala kukuumiza hisia zako.
 
Mbona mshahara umewahi kukata mapema hivi? Au kuna chuma ulete sio bure😕
 
Watu wanazngumza habari za lowasa wewe unaleta upuuuzi hapa........
 
hahaha chezea EL CHAPO

ATAKUA KAPITA KWENYE MTARO

haki elchapo katupa stail
 
Hizi mada za kipuuzi zinaifanya JF kuwa kama kijiwe cha kahawa.....na sio uwanja wa ma GREAT THINKE.....
 
mr Eric

Mkuu uIitumia c.o.n.d.o.m?
 
Last edited by a moderator:
Mbona kaka unatushangaza? Siku moja mmekutana na kufanya mapenzi! Kweli atakuwa jini
 
ulivopata pesa nyingi kiajabu hujashangaa, mremboo wako kuondoka kiajabu unashangaa. just connect dots na ujiandae kulea mtoto wa ajabu
 
Sasa je ungekuta kaondoka na nyeti si ndio ungekufa kabisa?
 
Mbona kaka unatushangaza? Siku moja mmekutana na kufanya mapenzi! Kweli atakuwa jini

Mbona kwa zama hizi ni kawaida sana na watu wengi hilo linawatokea.... Haujawahi kusikia kitu inaitwa one night stand!!!?😱
 
Back
Top Bottom