Recent content by IQRA90

  1. IQRA90

    Biashara ya Uokaji (Bakery): Mbinu, Ushauri na Changamoto Zake

    Kuna thread kuhusu hili humu, check kwenye stickies hapo Juu. Utaikuta. Good luck
  2. IQRA90

    P-Funk: Yule angekuwa binti yangu, mngeona video mbili

    Hii ngoma compare!!
  3. IQRA90

    Kwanini watu wa Arusha, Njombe, Iringa na Kilimanjaro wanafanikiwa sana kibiashara?

    Sijui umetumia kigezo gani kuprove hili!! Sina hakika na ukweli au uhalisia katika hili. Kila mahali kuna mtu aliye au anaefanikiwa kwa lolote lile analofanya kwa bidii. Kama ni kukujibu basi bilashaka ni harakati,mipango,juhudi,uvumilivu na bidii zao ndio siri ya mafanikio yao.
  4. IQRA90

    Uzoefu wa biashara ya juisi ya miwa; Changamoto na ushauri

    Bila kusahau tamaduni ya watu katika eneo ulilopo.
  5. IQRA90

    Uzoefu wa biashara ya juisi ya miwa; Changamoto na ushauri

    Ndugu kwa namna yoyote how much you earn for a day depends na soko la bidhaa, margin ya wateja, hali ya hewa na hali ya uchumi pia. Fanya research hii katika eneo unaloli target the ukipata majibu ndio probably the much you can get!!
  6. IQRA90

    Sheikh Mkuu DSM: Diamond acha utani na Mungu, utapotea

    Kwa mtu wa kaliba ya nasibu abduli na kwa maisha aliyoyachagua kuishi,sidhani kama anapata hata muda wa kusali rakaa moja sembuse mbili!! Ila mungu wake anajua zaidi,tusiusemee moyo
  7. IQRA90

    Kitendo hatari ulichowahi mfanyia mpenzi wako

    Sasa ww mwenyewe hujasema alikfanyia tukio gani, halafu unataka sisi tuseme nini!!? Waswahili bana
  8. IQRA90

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Naomba kujua kuhusu mikopo mipya kwa watumishi wa umma, bado iko on hold mpaka lini? NMB tawi la mbulu mkoani manyara hawatoi mikopo!!
  9. IQRA90

    NMB Tanzania Special thread: Tupe maoni, maswali, malalamiko na hata ushauri

    Nataka kujua kuhusu kutoa mikopo mipya kwa watumishi wa umma, tawi la mbulu mkoani manyara bado hawatoi!!
  10. IQRA90

    Msaada wapi nitapata hii kitu Dar.

    Mkuu nimechukua namba nitakutafuta this coming weekend I'll be at dar. See you soon
  11. IQRA90

    Msaada wapi nitapata hii kitu Dar.

    Nakutafutaje mkuu uniimportie babati
  12. IQRA90

    Msaada wapi nitapata hii kitu Dar.

    Hata Mimi hizo design za mobile fast food truck nilishaona mbili moja pale dar free market wanaita Just Eat Na same same maeneo ya buguruni
  13. IQRA90

    Msaada wapi nitapata hii kitu Dar.

    Sorry sikuona hizo contact kumbe ulishaweka!!
  14. IQRA90

    Msaada wapi nitapata hii kitu Dar.

    Ndugu Kwa hii sample it seems wako vizuri Sana. Uko Na contact nao hawa jamaa Shanyc
  15. IQRA90

    Msaada wapi nitapata hii kitu Dar.

    Brother augustleo na ww unawazo Kama hilo nini?
Back
Top Bottom