Habari wanabodi.
Mimi ni mmoja wa watu waliofanya saili wa kuhojiwa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma. Sina hakika kama nilifikisha maksi za kufaulu au la.
Nimekuwa nikitembelea ajira portal ,status bado ni ileile ya kuitwa kwenye usaili wa mahojiano(SIJUI KAMA HUWA INABADILIKA)...
Nchi ni yetu sote. Kiongozi anawekwa na Wananchi Kwa kipindi Fulani baada ya hapo anweza kuja mwingine. Katiba yetu inaruhusu Uhuru wa mawazo. Pia sioni shida iko wapi tukikosoa mahali tunapoona hapako Sawa Kwa maslahi ya taifa. Shida iko wapi na sioni inamuathiri vipi kiongozi.
Ujinga ulioje. Hawa ndio aina ya mashabiki ambao wanaweza hata kujidhuru kisha timu sijui imefanyaje,wasiojua maana ya burudani.
Mtu amekuja kuwasapoti mnamfanyia vurugu na kumpiga mateke kweli?
Kwa kosa gani? Maana kila mtu anajua kuna kizungumkuti kigumu juu ya ndugu zetu wanaopotea,kutekwa na kuuwawa.
Kinachoonekana ni kama vyombo vya usalama vyote vinashindwa kuchakata na kufumbua hili fumbo.Kwani hatujaona ripoti yoyte ya maana kutoka huko kuhusiana na kinachoendelea na ufumbuzi...
Hawajaita bado watu wakafanye usaili kuhusiana na hilo tangazo,kwani kuna nafasi zingine za Kada tofauti nyingi pia zilizotangazwa kabla ya hilo tangazo ambazo ndio watu wanaendelea na usaili.Mfano ni nafasi za waalimu zaidi ya elfu kumi ambazo watu wanaendelea kufanya usaili. Zilitangazwa toka...
Hata interview nyingi za KAZI zinaendeshwa kwa kiingereza.Imekuwa kipengele Sana watu kujieleza vizuri hata kama Wanajua. Kinachotafutwa ni kumpa mtoto msingi imara.Kwangu mimi Ni Bora akasoma Kayumba secondary.
You better communicate with the Secretariat as the reason might be not the one you mentioned.
Here, I assume you read well the Job requirements.
Application failed inaweza kuwa ni ishu tu ya office kukusaidia kuweka Sawa au kuongeza hiyo kozi kwenye mfumo halafu ukaweza kuapply vizuri Tu. It...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.