Recent content by ipyax

  1. ipyax

    Tetesi: Koko Beach nayo ishauzwa?

    Huzuni sana.
  2. ipyax

    Wanaouchukia Uislam mnajisumbua Farao mwenyewe yalimshinda

    Farao alikuwepo kabla ya uislamu,huo uislamu alishindana nao vipi? Uislamu kauanzisha Mohamed na internet ndiyo imekuwa kichomi kikubwa. Data zote ziko online,hamuwezi tena kuuficha kwenye kiarabu. Kubwa zaidi uislamu ndiyo umekuwa kwenye vita na wakristo na wayahudi tangu kuanzishwa kwake...
  3. ipyax

    H-PYLORI, huyu mdudu ananitesa mno sina raha na maisha

    Pole sana,silaha namba moja ni kubadilisha diet. Kama una pesa acha kutumia sukari,wanga na mafuta ya kupikia. Jaribu kula protein pekee kwa siku 30,yani nyama ya ng'ombe,mbuzi ,samaki . Bidhaa pekee ya mimea iwe ni 🥑,pia tumia apple cider vinegar kijiko kimoja kwenye glass ya maji ya vuguvugu...
  4. ipyax

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Kama alikuwa anapendwa na watanzania kuliko kawaida kwanini alipora uchaguzi wa 2020?
  5. ipyax

    Orodha ya magonjwa ambayo ukiyapata hayatibiki kwa hapa Tanzania

    Magonjwa mengi yasiyo ambukiza yanapona kwa lifestyle changes tu. Shida ni kwamba mfumo wa matibabu kuanzia Ulaya/Marekani mpaka Africa umetanguliza dawa kama suluhisho la kila tatizo. Magonjwa mengi yana sababishwa na mazingira kama pollution,lishe mbaya,upungufu wa nutrients muhimu mwilini...
  6. ipyax

    Msaada wa dawa kwa anaejua!

    Nenda hospitali Mkuu.
  7. ipyax

    Aliyefanikiwa kutumia dawa za kuongeza uume nahitaji msaada

    Uume ni msuli na ukitaka uongezeke size basi unahitaji mazoezi kama misuli mingine ya mwili,hakuna dawa. Tafuta penis pump kwa ajili ya mazoezi ya mashine,tumia mara tatu kwa wiki utanishukuru.
  8. ipyax

    Namna ya kumfanya mfungwa afunguke

    Waterboarding ndiyo mbinu hatari kuliko zote .
  9. ipyax

    As long as it involved the loss of human life, whatever GOOD THINGS one might have done, all go to the trench!

    Mzee Magu ndiye alijenga msingi wa hili janga tunalopitia sasa,alikuwa rais mbovu kuliko wote tangu Tanzania iingie kwenye mfumo wa vyama vingi.
  10. ipyax

    Siku mkija kugundua aliyetaka kutoa uhai wa Tundu Antipas Lissu sio Magufuli ila wahuni walitumia fursa mtakubali? Na leo wanataka kumnyonga

    Magufuli alichukua hatua gani baada ya kujua kuna wahuni walitaka kumuua Lisu?
Back
Top Bottom