Recent content by ipyax

  1. ipyax

    TANAPA yafufua ujenzi hoteli ya kitalii Chato, CHADEMA wapinga

    Tanapa inamiliki hoteli ngapi za kitalii Tanzania? Tangu lini taasisi ya serikali iliweza kufanya biashara kwa ufanisi? Hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu .
  2. ipyax

    Wadada: "Ukijituma" mno kitandani huolewi ng'o!

    😅😂😅😂 kujituma kitandani sio kipimo cha kuja kuwa mke bora,kuna vitu vya muhimu zaidi kama upendo,huruma,uvumilivu,kutokua na gubu nk. Ndoa yoyote iliyopitishwa kwa sababu ya mauno lazima ije kuwa na shida nyingi. Ndiyo maana men hawamind kuoa bikra asiyejua kitu kwa sababu utaalam wa ngono kwa...
  3. ipyax

    Hizi oil perfumu za kupima zinadumu mda mrefu kama original?

    Nina Dior,Diesel, DKNY copy za msauz Africa ukitumia unanukia mpaka kesho kutakuwa,bei 25000 mls 50. Kama utahitaji karibu inbox kwa mawasiliano zaidi.
  4. ipyax

    Ipi ni bora kati ya Subaru forester (Isiyo na turbo) na Volkswagen Tiguan, zote za 2010?

    Torque ndiyo mpango mzima, kwenye gari usiangalie horsepower tu. Torque ni nguvu ya engine kuzungusha matairi from zero,the higher the torque the faster the car. Subaru ina horsepower 280 na Torque kiasi gani? Hiyo Subaru unayoisema ina CVT gearbox 😔😔,Cvt sio gearbox ya mbio boss. Dual au...
  5. ipyax

    Mbeya: Mlima Kawetele wameguka, nyumba zaidi ya 20 zadaiwa kufunikwa

    Wamekata miti yote kwenye huo mlima landslide lazima itokee .
  6. ipyax

    Car4Sale Agiza gari kutoka South Africa

    International 9800 tipper (mende), Year 2004, Cummins ISX engine, Horsepower 475, Semi automatic. Buying price ni million 60.
  7. ipyax

    Car4Sale Agiza gari kutoka South Africa

    Scania R500 inauzwa vipande vipande , Engine iko 100% milion 14,diff million 11,Cabin pia inauzwa peke yake,gearbox haina. Hii ni Scania ya mwaka 2016.
  8. ipyax

    Car4Sale Agiza gari kutoka South Africa

    Hakuna kitu kama hicho sister ,watub wana nunua magari kila siku hapa .
  9. ipyax

    Car4Sale Agiza gari kutoka South Africa

    Ninadhani makubaliano misamaha ya kodi kwenye nchi za SADC yanahusiana na bidhaa za kilimo na mifugo.
  10. ipyax

    Mnaokunywa Pombe kwanini mnatushawishi tusiokunywa?

    Hongera sana, it's better that way🍷
  11. ipyax

    Car4Sale Agiza gari kutoka South Africa

    Karibu sana chief,bank financed cars huuzwa kwa minada au insurance companies kama zimepata ajali au majanga ya aina yoyote. Suvs na pickup cars za kisasa hapa na nafuu kuliko kuagiza UK au Japan.
  12. ipyax

    Car4Sale Agiza gari kutoka South Africa

    Yes kuna ukweli fulani lakini nipo hapa na maisha tunayoishi ni tofauti na mtu anavyosikia kwenye vyombo vya habari. Kuna mengi sana mazuri kuliko mabaya,pia ni cycle za watu tunaojihusisha nao zinaweza kukuweka mtu matatani. Kama umenyooka basi utaishi vizuri tu.
  13. ipyax

    Car4Sale Agiza gari kutoka South Africa

    🤣😅😅😅 Mtu akitaka kununua gari hapa lazima twende traffic register tukajiridhishe kwamba muuzaji ndiye mmlikia wa chombo. Kama ni dealerships pia kuna taratibu zake.
Back
Top Bottom