Farao alikuwepo kabla ya uislamu,huo uislamu alishindana nao vipi? Uislamu kauanzisha Mohamed na internet ndiyo imekuwa kichomi kikubwa.
Data zote ziko online,hamuwezi tena kuuficha kwenye kiarabu. Kubwa zaidi uislamu ndiyo umekuwa kwenye vita na wakristo na wayahudi tangu kuanzishwa kwake...
Pole sana,silaha namba moja ni kubadilisha diet. Kama una pesa acha kutumia sukari,wanga na mafuta ya kupikia.
Jaribu kula protein pekee kwa siku 30,yani nyama ya ng'ombe,mbuzi ,samaki . Bidhaa pekee ya mimea iwe ni 🥑,pia tumia apple cider vinegar kijiko kimoja kwenye glass ya maji ya vuguvugu...
Magonjwa mengi yasiyo ambukiza yanapona kwa lifestyle changes tu. Shida ni kwamba mfumo wa matibabu kuanzia Ulaya/Marekani mpaka Africa umetanguliza dawa kama suluhisho la kila tatizo.
Magonjwa mengi yana sababishwa na mazingira kama pollution,lishe mbaya,upungufu wa nutrients muhimu mwilini...
Uume ni msuli na ukitaka uongezeke size basi unahitaji mazoezi kama misuli mingine ya mwili,hakuna dawa. Tafuta penis pump kwa ajili ya mazoezi ya mashine,tumia mara tatu kwa wiki utanishukuru.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.