Tanapa inamiliki hoteli ngapi za kitalii Tanzania? Tangu lini taasisi ya serikali iliweza kufanya biashara kwa ufanisi? Hayo ni matumizi mabaya ya kodi zetu .
😅😂😅😂 kujituma kitandani sio kipimo cha kuja kuwa mke bora,kuna vitu vya muhimu zaidi kama upendo,huruma,uvumilivu,kutokua na gubu nk. Ndoa yoyote iliyopitishwa kwa sababu ya mauno lazima ije kuwa na shida nyingi. Ndiyo maana men hawamind kuoa bikra asiyejua kitu kwa sababu utaalam wa ngono kwa...
Nina Dior,Diesel, DKNY copy za msauz Africa ukitumia unanukia mpaka kesho kutakuwa,bei 25000 mls 50. Kama utahitaji karibu inbox kwa mawasiliano zaidi.
Torque ndiyo mpango mzima, kwenye gari usiangalie horsepower tu. Torque ni nguvu ya engine kuzungusha matairi from zero,the higher the torque the faster the car. Subaru ina horsepower 280 na Torque kiasi gani?
Hiyo Subaru unayoisema ina CVT gearbox 😔😔,Cvt sio gearbox ya mbio boss. Dual au...
Scania R500 inauzwa vipande vipande ,
Engine iko 100% milion 14,diff million 11,Cabin pia inauzwa peke yake,gearbox haina. Hii ni Scania ya mwaka 2016.
Karibu sana chief,bank financed cars huuzwa kwa minada au insurance companies kama zimepata ajali au majanga ya aina yoyote. Suvs na pickup cars za kisasa hapa na nafuu kuliko kuagiza UK au Japan.
Yes kuna ukweli fulani lakini nipo hapa na maisha tunayoishi ni tofauti na mtu anavyosikia kwenye vyombo vya habari. Kuna mengi sana mazuri kuliko mabaya,pia ni cycle za watu tunaojihusisha nao zinaweza kukuweka mtu matatani. Kama umenyooka basi utaishi vizuri tu.
🤣😅😅😅 Mtu akitaka kununua gari hapa lazima twende traffic register tukajiridhishe kwamba muuzaji ndiye mmlikia wa chombo. Kama ni dealerships pia kuna taratibu zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.