Kama una hela fanya diet ya protein pekee kwa mwezi mzima. Kula nyama ya ng'ombe, mbuzi,samaki,mayai.
Avocados pia sio mbaya,wali ukipikwa make sure unakaa kwenye friji masaa 24 ndiyo upashe ule.Hii inasaidia kubadilisha aina ya wanga ndani yake ili usipandishe sukari kwa speed.
Hata mihogo...
Jibu swali, Mohamed (Allah) alitoa kibali Quran iandikwe? Au ni matakwa binafsi ya Uthman?
Mfalme Fuad wa misri je? Alipewa ruhusa na allah kutengeneza huo Quran mnatumia leo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.