Recent content by ipyax

  1. ipyax

    JamiiForums Tanzania Uzi maalumu kwa ajili nyimbo za injili za zamani(Old school Gospel songs) za Tanzania!

    Uzi muhimu sana huu.
  2. ipyax

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa madhara ya kula nyama ya nguruwe

    Ugonjwa una sababishwa na lifestyle mbaya,so hata wakila kitimoto kwa wingi haisaidii .
  3. ipyax

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa madhara ya kula nyama ya nguruwe

    Nyama ya nguruwe ina vitamini B1 (benfotamine) ambayo ni muhimu sana kwa watu wenye ugonjwa wa miguu/mikono kuwaka moto n kufa ganzi.
  4. ipyax

    JamiiForums Tanzania Msaada sina kabisa nguvu za kiume

    Nenda hospitali tafadhali.
  5. ipyax

    JamiiForums Tanzania Hivi wale wadada wa enzi ile JF wako wapi? Hebu watag hapa waje tujikumbushe nyuma kidogo

    Enzi zile 🔥🔥
  6. ipyax

    JamiiForums Tanzania Siku saba za raha: tuzogoe 😊 halafu tukutane kesho saa 12 jioni

    Interesting 🤔🤔
  7. ipyax

    JamiiForums Tanzania Zifahamu dalili zinazoashiria mtu kusumbuliwa na tatizo la kuzidi kwa Acid tumboni

    Kama una hela fanya diet ya protein pekee kwa mwezi mzima. Kula nyama ya ng'ombe, mbuzi,samaki,mayai. Avocados pia sio mbaya,wali ukipikwa make sure unakaa kwenye friji masaa 24 ndiyo upashe ule.Hii inasaidia kubadilisha aina ya wanga ndani yake ili usipandishe sukari kwa speed. Hata mihogo...
  8. ipyax

    JamiiForums Tanzania BBC News Africa: Tundu Lissu: A Fight Too Far?

    He is the cleanest politician we have in an ere of corruption pandemic in Tanzania.
  9. ipyax

    JamiiForums Tanzania BBC News Africa: Tundu Lissu: A Fight Too Far?

    Asante BBC 🔥🔥🔥
  10. ipyax

    JamiiForums Tanzania Mtaji wa 3.5Milioni biashara gani inafaa

    Nunua Bajaj used au ya mkopo,ingia bolt.
  11. ipyax

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Quran ya Mohamed haipo shehe.
  12. ipyax

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Sio nadhani, Mohamed hakuacha kitabu. Hata Uthman alipoamua kuandika Quran yake alipata upinzani mkubwa sana kutoka kwa waumini.
  13. ipyax

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Quran ya Mohamed haina shida na injili pamoja na Torah. Tena inasema kabisa tusipofuata vitabu vyetu sisi ni waasi dhidi ya mola.
  14. ipyax

    JamiiForums Tanzania Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Jibu swali, Mohamed (Allah) alitoa kibali Quran iandikwe? Au ni matakwa binafsi ya Uthman? Mfalme Fuad wa misri je? Alipewa ruhusa na allah kutengeneza huo Quran mnatumia leo?
Back
Top Bottom