Jibu swali, Mohamed (Allah) alitoa kibali Quran iandikwe? Au ni matakwa binafsi ya Uthman?
Mfalme Fuad wa misri je? Alipewa ruhusa na allah kutengeneza huo Quran mnatumia leo?
Mohamed hakuacha musahf na wala hakutoa amri kwamba uandikwe. Umar na abubakar walijiamria wenyewe bila hata ushauri wa jibril au Allah mwenyewe.
Ndiyo maana walichoma Quran zingine zote ili ibaki yao tu. Bahati mbaya Quran yao nayo ikapotea.
Mfalme Fuad wa misri mwaka 1910 akatoa amri kwamba...
Quran 2:101
Na alipo wajia Mtume kutoka kwa Mwenyezi Mungu, mwenye kuthibitisha yale waliyo nayo, kundi moja miongoni mwa wale walio pewa Kitabu lilitupa Kitabu cha Mwenyezi Mungu hicho nyuma ya migongo yao kama kwamba hawajui.
Hii aya inaua imani yako kabisa,kama Mohamed alithibitisha...
Hii aya haihusiani na injili wala torati, Mohamed alikuwa na shida na wayahudi wa medini kwenye mahusiano yao ya kijamii. How come wayahudi wa medina waliweza kuathiri uhifadhi wa vitabu vyetu mashariki ya kati nzima mpaka Ulaya?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.