Recent content by ipyax

  1. ipyax

    Mtaji wa 3.5Milioni biashara gani inafaa

    Nunua Bajaj used au ya mkopo,ingia bolt.
  2. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Quran ya Mohamed haipo shehe.
  3. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Sio nadhani, Mohamed hakuacha kitabu. Hata Uthman alipoamua kuandika Quran yake alipata upinzani mkubwa sana kutoka kwa waumini.
  4. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Quran ya Mohamed haina shida na injili pamoja na Torah. Tena inasema kabisa tusipofuata vitabu vyetu sisi ni waasi dhidi ya mola.
  5. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Jibu swali, Mohamed (Allah) alitoa kibali Quran iandikwe? Au ni matakwa binafsi ya Uthman? Mfalme Fuad wa misri je? Alipewa ruhusa na allah kutengeneza huo Quran mnatumia leo?
  6. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Quran ipi? Quran ya Mohamed kabla haija chakachuliwa? Au hii Quran ya Misri ya mwaka 1924?
  7. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Mohamed hakuacha musahf na wala hakutoa amri kwamba uandikwe. Umar na abubakar walijiamria wenyewe bila hata ushauri wa jibril au Allah mwenyewe. Ndiyo maana walichoma Quran zingine zote ili ibaki yao tu. Bahati mbaya Quran yao nayo ikapotea. Mfalme Fuad wa misri mwaka 1910 akatoa amri kwamba...
  8. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Ndiyo, kwenye Quran ya Mohamed. Sio hii Quran yenu ya al Azhar university ambayo ime chakachuliwa.
  9. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Quran 2:101 Na alipo wajia Mtume kutoka kwa Mwenyezi Mungu, mwenye kuthibitisha yale waliyo nayo, kundi moja miongoni mwa wale walio pewa Kitabu lilitupa Kitabu cha Mwenyezi Mungu hicho nyuma ya migongo yao kama kwamba hawajui. Hii aya inaua imani yako kabisa,kama Mohamed alithibitisha...
  10. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Hii aya haihusiani na injili wala torati, Mohamed alikuwa na shida na wayahudi wa medini kwenye mahusiano yao ya kijamii. How come wayahudi wa medina waliweza kuathiri uhifadhi wa vitabu vyetu mashariki ya kati nzima mpaka Ulaya?
  11. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Quran haisemi tumecha injili,weka aya na tafsir hapa Tusiime.
  12. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Weka aya hapa inayosema tume tengeneza vitabu shehe.
  13. ipyax

    Kamati ya Al Azhar na kuunda Qur’an standard (1924)

    Jibu swali,wapi Quran inasema kwamba wakristo hatuna injili ?
Back
Top Bottom