Hivi na ninyi mnahangaikia kufikiria nani mkali kati ya zitto na slaa? Mbona jibu liko wazi hapo? au mnaangalia anayejitangazia kuwa lazima agombee? Kwanza mimi naona mtu kung'ang'ania kugombea kwa sasa sio kabisa, suala ni kusema atachukuwa fomu ya kumtafuta mgombea wa urais na sio kusema...
mie naona gap ni kubwa mno, 16years? unauhakika gani kuwa hana mtoto(watoto)? kama ww unaonekana utchukia akisema kuwa anawatoto, unadhani atakwambia? THINK TWICE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Sijaona wa kuzima moto wa CDM bungeni hata kitaa............Mnajua tanzania na viongozi wake wanajua kuwa watanzania ni wasahaulifu sana juu ya hoja za msingi, wataanziasha kihoja chochote ili tu tusahau kuhusu KATIBA.
Kitila Mkumbo BIG UP kaka, I real appreciate u.....!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.