Waefeso 5:22 hadi 25
22 Enyi wake, watiini waume zenu kama kumtii Bwana wetu.
23 Kwa maana mume ni kichwa cha mkewe, kama Kristo naye ni kichwa cha Kanisa; naye ni mwokozi wa mwili.
24 Lakini kama vile Kanisa limtiivyo Kristo vivyo hivyo wake nao wawatii waume zao katika kila jambo.
25 Enyi...
Pole sana dada! Kama bado unampenda mme wako na bado unatamani kuendelea kuwa naye sehemu sahihi ya kuanzia kutatua changamoto hii ni kujua chanzo chake. Kwa kawaida kila jambo lina chanzo chake. Jitahidi kujua ni kwa nini mumeo amekuwa hivyo maana unajua vizuri alivyokuwa mwanzo. Ukishajua kwa...
Asante kwa kutuelimisha kuhusu masuala kadhaa kuhusiana na huduma mbalimbali za Tanesco. Naomba kujua vigezo ambavyo Tanesco wanatumia katika kumweka mteja kwenye Tarrif (T1) au D(1) kama sijakosea. Je natakiwa kufuata taratibu zipi endapo nimewekwa kwenye Tariff ambayo siyo sawa? Naomba...
Asante kwa ufafanuzi wa masuala kadhaa. Mojawapo ya vitu ambavyo watu wa benki mbalimbali wanahitaji kama utambulisho wa makazi unapotaka kufungua akaunti ni bili ya malipo ya umeme.
Naomba kujua kama bado mnazitoa na ninawezaje kuipata. Asante kwa ushirikiano!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.