Recent content by ipulunganya

  1. I

    JamiiForums Tanzania Yanasemwa mengi juu ya ajira za Sensa, nami niseme machache

    Kuna Mambo matano mtumishi wa umma ukiyafanyia mchezo yanaathiri moja kwa moja utumishi wako na yapo kwenye sheria ambayo ni mitihani ya Taifa,Sensa,uchaguzi mkuu,mwenge na msafara wa Rais
  2. I

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Wenye ajira watashiriki tumejifunza kwenye Anwani za makazi baadhi ya watu wa mtaani they don't care
  3. I

    JamiiForums Tanzania Najuta kuhamia kwangu Kerege

    Yaani hapo kerege unaona mbali Mimi nipo kibaha kwa mfipa na kutoka hapo kwa mfipa mpaka kwangu 6km ,natoka kwangu Asubuhi na kipikipiki changu nakuja hadi morogoro road naiacha hapo sheli napanda daladala naenda town nikirudi naichukua narudi home kwenye hewa safi
  4. I

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Ipo tena panel nzuri tu kama za pale utumishi
  5. I

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Hahahaha bado sijastaafu mkuu ,nilikuwa namaanisha kwa hawa ambao hata kutuma maombi hawawezi wasijisumbue kwenye usahili hawatoboi
  6. I

    JamiiForums Tanzania Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

    Yaani ukikutana nao wanajitambulisha kwa Dr la kumbe wanakula mia sita
  7. I

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Soma tangazo vizuri ,kuna sehemu wameandika muhim
  8. I

    JamiiForums Tanzania Nafasi za Ajira za muda za Makarani na Wasimamizi wa Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022

    Mtaalam tunayemtegemea kufanya kazi ya sensa kwa kutumia Kishikwambi ameenda stationary akalipa 10000 ili asadiwe kufanya application, nawangoja wa hivi waje kwenye interview watajua hawajui
  9. I

    JamiiForums Tanzania Kumlipa Clinical Officer laki 6 sio haki hata kidogo

    Kumbe CO ana salary ndogo hivyo laaa pole yao
  10. I

    JamiiForums Tanzania Ajira za Sensa wakiachiwa watendaji ndio wachague watu tumekwishaaa

    Wala msikate tamaa tutatenda haki,
  11. I

    JamiiForums Tanzania Kazi za Sensa: Fomu Na. 1 inakusanywa wapi kati ya ofisi hizi?

    Ni lazima acha ofisi ya kata ,kuna baadhi ya watu wanadharau kamati ya sensa ya kata ndio itaanza mchakato wa kuwapata watu sahihi na watutumia hiyo copy
  12. I

    JamiiForums Tanzania Top 10 Best secondary schools of all time in Tanzania

    Anachosema ni kweli kipindi hicho private walikuwa wanachukua waliofeli ,ila kama umesoma kuanzia 2000 Mambo yalikuwa yameshabadilika
  13. I

    JamiiForums Tanzania Ajira za utendaji wa kata

    Sio mpya mkuu ni wa siku nyingi kazi yangu ya kwanza ni WEO na niliingia 2014 na tulipitia sekretariet ya ajira katika utumishi wa umma wakati huo ikiwa pale maktaba ya Taifa ,kwa mtu anayetaka kuomba nafasi hizo anicheki nina kiuzoefu kidogo
Back
Top Bottom