Kuna Mambo matano mtumishi wa umma ukiyafanyia mchezo yanaathiri moja kwa moja utumishi wako na yapo kwenye sheria ambayo ni mitihani ya Taifa,Sensa,uchaguzi mkuu,mwenge na msafara wa Rais
Yaani hapo kerege unaona mbali Mimi nipo kibaha kwa mfipa na kutoka hapo kwa mfipa mpaka kwangu 6km ,natoka kwangu Asubuhi na kipikipiki changu nakuja hadi morogoro road naiacha hapo sheli napanda daladala naenda town nikirudi naichukua narudi home kwenye hewa safi
Mtaalam tunayemtegemea kufanya kazi ya sensa kwa kutumia Kishikwambi ameenda stationary akalipa 10000 ili asadiwe kufanya application, nawangoja wa hivi waje kwenye interview watajua hawajui
Ni lazima acha ofisi ya kata ,kuna baadhi ya watu wanadharau kamati ya sensa ya kata ndio itaanza mchakato wa kuwapata watu sahihi na watutumia hiyo copy
Sio mpya mkuu ni wa siku nyingi kazi yangu ya kwanza ni WEO na niliingia 2014 na tulipitia sekretariet ya ajira katika utumishi wa umma wakati huo ikiwa pale maktaba ya Taifa ,kwa mtu anayetaka kuomba nafasi hizo anicheki nina kiuzoefu kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.