Habari wana JF,
Nimekuja mbele zenu naombeni ushauri,
Mimi ninamke tumedumu kwenye ndoa miaka minne mpaka sasa bahati mbaya hatujabahatika kupata mtoto wala hata ujauzito kuharibika japo nje ya ndoa ninamtoto na hata mwenzangu analijua hilo.
Lakini maswala ya uzazi na mwenzangu hayajawahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.