Recent content by iphone 18 promax

  1. I

    JamiiForums Tanzania Sishauri mtu kusoma PhD OUT

    🎓 Vyuo Vikuu Tanzania vinavyotoa PhD University of Dar es Salaam University of Dodoma Sokoine University of Agriculture Mzumbe University Open University of Tanzania Nelson Mandela African Institution of Science and Technology Mbeya University of Science and Technology Moshi Co-operative...
  2. I

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Ucheleweshwaji wa Kimaksudi na Ukatishwaji Tamaa wa Wanafunzi wa Postgraduate kutokana na Usimamizi Mbaya wa Tafiti UDOM

    ukitaka afya ya akili soma sana ulaya ambako supervisor anakusuuport lakini africa changamoto nyingi
  3. I

    JamiiForums Tanzania NASA INATUCHANGANYA! Je, Ni Kweli Dunia Inazunguka kwa Kasi ya KM 1,600/Saa au Tumeaminishwa Uongo?

    ikiwa wametukuta tunaishi mporini wakatupa haya wakatupa namna ya kuvaa nguo wakatupa namna kujitibu madawa tunawategemea wao mawasiliano ni yao wkatuletea mfumo wa elimu wakatupa ndio tunatumia mpaka leo wakatupa na uzazi wa mpango wakaleta mpaka dini mpaka na majina wametupa saizi...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa Waliosoma BSc. Food, Nutrition & Dietics pale Open University of Tanzania

    Bora ukasoma marketing ukawa una promote bidhaa zako ww mwenyewe hii kozi kuajiliwa ngumu au kujiajili kama umeajiliwa sawa
  5. I

    JamiiForums Tanzania KIUT

    Unaendeleza kwa level gani
  6. I

    JamiiForums Tanzania Sishauri mtu kusoma PhD OUT

    wapi pazuri kusoma kwa saizi PhD
  7. I

    JamiiForums Tanzania Korogwe: Bodaboda wadaiwa kuchoma basi la Saibaba baada ya mwenzao kugongwa

    Maafisa usafirishaji wanachoma tena au kwa kuwa Wana pkpk
  8. I

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hatimaye Boss kaoa

    Mwanamme anaoa tabia na sio sura
  9. I

    JamiiForums Tanzania Tujionee kwanza haya maajabu ya Kikokotoo kwa Watumishi wa Umma

    Ingekuwa Jf Kuna sehemu wanaweka kiwango Cha elimu ili unapojenga hoja tujue ni mtu wa namna Gani Ilikuwa rahisi mtu kujua kama wazazi walipeleka ngombe Shuleni au walipeleka mtu kusoma
  10. I

    JamiiForums Tanzania Matumizi ya AI kujibu maswali vyuoni ni kudumaza akili

    https://quillbot.com/ai-content-detector
  11. I

    JamiiForums Tanzania Je, inaruhusiwa kwa mtu kufanya masomo ya Kozi mbili tofauti kwa wakati mmoja kwa ngazi ya Shahada ya Uzamili?

    Kwamba uko mzumbe unasoma masters full time huku koziwork unatakiwa kupresent kule udsm kesho yake Kuna seminar room unatakiwa Muuliza swali ameuliza swali arudi kwanza ajitafakari
  12. I

    JamiiForums Tanzania Masters degree university of Dar es salaam

    Mauza uza yataanza kwenye proposal tu
  13. I

    JamiiForums Tanzania Masters degree university of Dar es salaam

    Ndio chuo Gani hicho? Kuna vyuo ukijichanganya tu unaweza kusoma miaka kumi humalizi
Back
Top Bottom