Ww ndo ujui kbs kuhusu biblia kama ni mkristo basi rudi kwenye vyuo vya biblia ili ujue biblia inasema nini kuhusu hao manabii unao wapenda ww pia nataka uniletee kifungu cha biblia kinacho mpa mmalak mwanamke kufanya huduma kama hiyo kabla ya kukosoa soma maandiko kwanza kuhusu wanawake na unabii
Hata huko kwenye nchi zilizoendelea uchaguzi ukiisha vyama vyote vinatulia vinasubilia uchaguzi ujao siyo kila mda ni siasa tu kipindi cha jk walipewa hiyo ruhusa je walifanya nini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.