Mkuu nunua na pop corn kabisa.Nimewahi siti ya mbele, ili niweze kufuatilia vizuri huu uzi.
Na bado yeye mwenyewe anasema ubalozi haukumfanyia chochoteNi watanzania wangapi ughaibuni wamepewa umuhimu kama huu wa Dr?
hahahahhahaha
kasikilize hapa bana..kuanzia dakika ya 12
na wabongo wakienda kuuliza ofisi za UN wakaambiwa hakuna kitu kama hicho hawataamini
wataendelea kuamini udaku...hahahahahaha
dah.Aisee nchi hii kuna tatizo kubwa sana kwenye thinking capacity
Swali kuntu! Wenye uweledi watatambua kuwa kuna kitu zaidi ya maelezo aliyoyatoa balozi, huyu Dr anahitaji mahojiano zaidi ya namna mambosasa alivyoreport issue ya huyu jamaaNi watanzania wangapi ughaibuni wamepewa umuhimu kama huu wa Dr?
Eti ni CIA anakimbia KGB?ha ha ha wakati hata hela ya kula majirani wanasema shida!au ni undercover mission?The bold ametuharibu sana na ma Mossad wakeWabongo huwaelezi kitu washapata story ya kupunguza ukali wa maisha.
Yani watairemba na watafungua thread hata mia.
Kila anayelala akapata idea anaifungulia thread
Wabongo wamepata super hero wao dr shika
Balozi katoa maelezo aliyopewa kutoa. Hilo liko wazi kwa mtu yeyote mwenye akili.Dr ndo aneongea ukweli lkn sio huyo balozi, kwasbbu balozi amejichanganya zaidi ukifatilia mazungumzo yake,
hahahahhahaha
kasikilize hapa bana..kuanzia dakika ya 12
na wabongo wakienda kuuliza ofisi za UN wakaambiwa hakuna kitu kama hicho hawataamini
wataendelea kuamini udaku...hahahahahaha
dah.Aisee nchi hii kuna tatizo kubwa sana kwenye thinking capacity
Watu wanaangalia sana movies na series then wanaleta katika really life halafu wanajikuta wachambuzi hatariEti ni CIA anakimbia KGB?ha ha ha wakati hata hela ya kula majirani wanasema shida!au ni undercover mission?The bold ametuharibu sana na ma Mossad wake
Amesema sababu ya kutekwa ni hiyo yaani alitekwa kwa U pedeshee kujionyesha ni tajiri ila aliposema hana hela akateswa na akaachiwa baada ya kumuona hana kitu wala hakutorokaSasa. Kama balozi anasema HAFAHAMU CHOCHOTE KUHUSU KAMPUNI YA DOKTA.
atasemaje DK alikuwa anajigamba kwamba Ana hela. Lakini HANA.
Wewe hapo inaweza kuprove vipi kuwa ni ukweli au uongoanasema mwaka 2014 alipata barua ya uteuzi ya UN Kuwa balozi UNHCR
Miezi miwili iliyopita amepata promotion ya Kuwa Balozi UNHCR ku cover the whole world
Hajaenda officially ku report
Anatakiwa kulipa OIECD ili akabidhiwe kazi ....hahahahahha
elmagnifico kuna jamaa wanasema Dr Shika ni mkweli kabisa
hahahahha.Watanzania vilaza kinoma..alafu wanapenda umbea...na ni akili ndogo sana..ndio maana Babu wa Loliondo aliwashika
The Guy is sick..he needs help
Mkuu mimi niko kwenye ku-synthesize maelezo ya Dr. Shika na Chokala, na nikaona yale ya Chokala yana upungufu mno, zaidi sana ya yale ya Dr. Shika. Dr. Shika anatoa maelezo kwa namna ya kutoweka wazi mambo fulani (intentional omission of some facts) wakati Chokala anatoa maelezo kwa kudanganya mambo fulani (intentional distortion of most of the facts). Mbona nimeeleza hilo wazi?Na wewe mtoa mada ebu fafanua uko kwenye mwelekeo upi unauliza swali au unafafanulia swali,, ebu toa neno nadhani, ili lituweke huru kwenye kutadhimini
Wew sasa ndo unaaeangalia sana movie,...alitelekezwa osama bin laden sembuse shika,...nenda kwenye nchi kama somalia,afghanistan,chechnia huko,ukraine,watu kama hawa wapo weeeng,wanaeza kua goverment assets na wakatelekezwa vilevile kwa sabab maalum.Sijamdharau ila sisi wabongo especially wa Jf tunaangalia sana movie na kumsoma sana The bold na Pascal kiasi cha ku exaggerate hata kitu kilicho wazi kabisa!Jasusi anayekimbia KGB awe anaonekana Dar es salaam na kuonana na watu waliosoma naye;CIA anayekimbia KGB ashindwe hata kulipa 50k ya rent kwa mwezi na chakula wakati anajificha?angekua CIA anajificha angekua analetewa basic needs zote
Aligharamiwa na Serikali na alipelekwa Russia na Serikali naalikua mwajiriwa wa Wizara ya Afya!Unastaajabu Ubalozi kutumia nguvu kuliko ingekua mbeba box kwa mtu wa aina hiyo?kweli mmeamua kuwa mnachoamini kiwe kweliSwali kuntu! Wenye uweledi watatambua kuwa kuna kitu zaidi ya maelezo aliyoyatoa balozi, huyu Dr anahitaji mahojiano zaidi ya namna mambosasa alivyoreport issue ya huyu jamaa
Ha ha huyu Dr atazalisha watu wanao hallucinate wengi sanaWew sasa ndo unaaeangalia sana movie,...alitelekezwa osama bin laden sembuse shika,...nenda kwenye nchi kama somalia,afghanistan,chechnia huko,ukraine,watu kama hawa wapo weeeng,wanaeza kua goverment assets na wakatelekezwa vilevile kwa sabab maalum.
Normal!believing in a retard!!Acha dharau ,wee mwenyew unaeendelea kujifanya kutoa mawaidha hapa ya same shitty thing level yako pia ni hyo hyo ya hao wa tz wenye capacity hafif,ungekua wa maana saana ungekaa kimya na kutazama,una waste time kutuelezea akat sis hii ishu tuna enjoy maisha yaende,hata kama ni fix,.dont u see how the wave has united people so far..tumesahau siasa n we r back to normal