Wakuu habari zenu,,, natumai mu wazima na mnaendelea na shughuli za kulijenga Taifa.
Naomba mwenye Audio ya huu wimbo anisaidie kuipata.
"Tazama ramani utaona nchi nzuri,
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri...