Wakuu habari zenu,,, natumai mu wazima na mnaendelea na shughuli za kulijenga Taifa.
Naomba mwenye Audio ya huu wimbo anisaidie kuipata.
"Tazama ramani utaona nchi nzuri,
Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka,
Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri,
Nchi hiyo mashuhuri...
Miongoni mwa vipaji ambavyo Tanzania imetunukiwa, ni pamoja na orodha kubwa ya waandishi wa hadithi za Kiswahili. Waandishi wengi wamechomoza kwa uhodari na umahiri wao kila mmoja katika kona yake. Katika somasoma yangu nimeondokea kuwahusudu waandishi kama 30 hivi wanaofanya maajabu kupitia...
Huyu Patrick (mtunzi) nilikuwa namchukulia poa ila kwa jinsi anavyodadavua na alivyopangilia mtiririko wa matukio yuko vizuri asee...
Kama kuna Bingwa wa Taharuki basi ye ni Hodari wa Taharuki...
Daniel, Job na Austin ndani ya kolabo moja
Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
Ukisoma hio mistari ya mwisho utatambua tu huyu anayejiita mtafiti alikuwa na lengo la kuwatukana waafrika na si kuchambua uasili wao... Mengi ni kweli ila the rest ni matusi tu
Toka lini kiongozi wa kiroho akajihusisha na mambo ya kidunia??? Kiongozi wa kiroho akisemwa vibaya hawezi kujibu ubaya kwa ubaya (wimbo wa Diamond, bora nikae kimya)...
Mbona raia mu wagumu sana kuelewa???
LEGE sio main source ya story... Hii story ina mtunzi wake... Na huyo mtunzi ndio anaipika season 4 huko,, bado haijakamilika (kwa mujibu wa LEGE,, pitieni replies)...
Anachokifanya LEGE ni kutusaidia sisi kuipata story kutoka huko inakoandaliwa na huenda...
It is not an easy task to score a goal from this kind of game (for a visiting/away team)...
The energy used is directly promotional to the time taken during the sleep. (Faragha Law) [emoji23][emoji23]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.