Habibu B. Anga
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 6,557
- 25,671
- Thread starter
- #41
Karibu sana shemeji kwa mara nyingine tusisongeshe jahazi...Juzi baada ya kusoma ile taarifa kwamba huu uzi upya, nilikuwa narefresh kila muda kuwa on time and I am.
Karibu sana shemeji kwa mara nyingine tusisongeshe jahazi...Juzi baada ya kusoma ile taarifa kwamba huu uzi upya, nilikuwa narefresh kila muda kuwa on time and I am.
Shemeji nimecheka sana,shukraan.Alhamdullilahy kwema kabisa pia hongera japo zimechelewa kwa kunyanyua kwapa kombe la FA hapo ndipo babu yenu anapowakamatia na kumzawadia kandarasi ya miaka miwili.
Alhamdullilahy kwema kabisa pia hongera japo zimechelewa kwa kunyanyua kwapa kombe la FA hapo ndipo babu yenu anapowakamatia na kumzawadia kandarasi ya miaka miwili.
Hahaha!! Enjoy it man..
Karibu... Bora usome tu... Maana kuna kama miezi miwili mbele ndio iisheNakubali Mzee Baba....
Ila ukimaliza kabisa ntarud....
Pamoja sana sister..The Bold asante sana
KaribuNoted...
Karibu..Napita kwanza
Ratiba;Ratiba ikoje nazungumzia humu
Kule kwenye group na website na vipi The Other Half itaendelea au inasimama kwa muda??
Shukrani sana kiongoziRatiba;
Vipepeo humu itakuwa inaruka mara tatu kwa wiki.
Kwenye group vipepeo itakuwa inaruka kila siku.
The Other Half itaendelea kwenye website tu https://jamii.app/JFUserGuide
Pamoja mkuuShukrani sana kiongozi