Recent content by Investor 1

  1. I

    Hisa zipi nzuri kati ya NMB na CRDB?

    Elimu ya Hisa ni Pana, nakushauri tafuta magroup ya what's up yanayotoa elimu ya uwekezaji.
  2. I

    Naomba kujuzwa juu ya Govt Bonds, ununuzi wa hisa DSE, Mutual bonds na UTT-Amis

    Ok, Bond haziishi. mnada hufashika Kila siku ya jumatano. Kuna ratiba ya mwaka mzima ukifungua website ya BOT utaiona. Kwa Mfano wiki hii kulikuwa na mnada wa Hatifungani za muda mfupi Treasury Bills wiki ijayo kutakuwa na mnada wa Hatifungani za muda mrefu Treasury Bonds. Hizi Bond zinapouzwa...
  3. I

    Naomba kujuzwa juu ya Govt Bonds, ununuzi wa hisa DSE, Mutual bonds na UTT-Amis

    Weka UTT liquid fund, zikiongezeka unatoa unanunua Bond, hapo unasubiri pale ambapo zinauzwa kwa discount
  4. I

    Naomba kujuzwa juu ya Govt Bonds, ununuzi wa hisa DSE, Mutual bonds na UTT-Amis

    Inategemea, kipindi ambacho mazingira ya uwekezaji au biashara yamekuwa magumu watu hununua bond, hii hufanyika ili kuepuka kupoteza mtaji. Pia wengi hununua Bond za serikali pale ambapo inakuwa vigumu kufanya biashara kwa sababu mbalimbali kama vile kukosa muda wa kusimamia biashara. Wengine...
  5. I

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Ndugu Thabit ukiwekeza 10 millions kwa mwaka inaweza kuongezeka 14% ambapo itakuwa 1.4 million kwa hiyo ukijumlisha na mtaji itakuwa 11.4 millions. Kama unachukua gawio ukuakji wa thamani ya vipande utakuwa hafifu. Gawio unalopewa ni sahemu ya faida unayoipata
  6. I

    UTT AMIS naona kwenye account yangu ya UTT hela imeongezeka kidogo

    Inabidi uingizwe kwenye mpango wa Gawio Kila mwezi au kwa mwaka mara mbili kama huhitaji magawio Yako yataendelea kununua vipande vingine automatically
  7. I

    Naomba kujuzwa juu ya Govt Bonds, ununuzi wa hisa DSE, Mutual bonds na UTT-Amis

    Treasury Bonds ni nzuri hasa ya 25 yrs ambayo rates zake ni 12.56% kwa mwaka. Unapokea Coupon mara mbili kwa mwaka. Utaratibu ni lazima ufungue CDS account BOT ambapo Broker atashughulika na jambo Hilo.Ukinunua Bond Mfano ya 25yrs utalipwa 12.56% Kila mwaka kwa miaka 25 then itamature na...
  8. I

    Benki zipi wanakubali dhamana ya hati ya nyumba kwa ajili ya mkopo?

    Siku hizi watu wanachukua mikopo mabenki makubwa kwa paper asserts
  9. I

    Ushauri: Vyuo vikuu vibaki vitano tu nchini

    Hivyo vyuo vitoe Advanced Diploma kama ilivyokuwa awali
  10. I

    Ushauri: Vyuo vikuu vibaki vitano tu nchini

    Chuo Kikuu Cha Archi ilikuwa chini ya UDSM
Back
Top Bottom