Ok, Bond haziishi. mnada hufashika Kila siku ya jumatano. Kuna ratiba ya mwaka mzima ukifungua website ya BOT utaiona. Kwa Mfano wiki hii kulikuwa na mnada wa Hatifungani za muda mfupi Treasury Bills wiki ijayo kutakuwa na mnada wa Hatifungani za muda mrefu Treasury Bonds. Hizi Bond zinapouzwa...
Inategemea, kipindi ambacho mazingira ya uwekezaji au biashara yamekuwa magumu watu hununua bond, hii hufanyika ili kuepuka kupoteza mtaji. Pia wengi hununua Bond za serikali pale ambapo inakuwa vigumu kufanya biashara kwa sababu mbalimbali kama vile kukosa muda wa kusimamia biashara. Wengine...
Ndugu Thabit ukiwekeza 10 millions kwa mwaka inaweza kuongezeka 14% ambapo itakuwa 1.4 million kwa hiyo ukijumlisha na mtaji itakuwa 11.4 millions. Kama unachukua gawio ukuakji wa thamani ya vipande utakuwa hafifu. Gawio unalopewa ni sahemu ya faida unayoipata
Inabidi uingizwe kwenye mpango wa Gawio Kila mwezi au kwa mwaka mara mbili kama huhitaji magawio Yako yataendelea kununua vipande vingine automatically
Treasury Bonds ni nzuri hasa ya 25 yrs ambayo rates zake ni 12.56% kwa mwaka. Unapokea Coupon mara mbili kwa mwaka. Utaratibu ni lazima ufungue CDS account BOT ambapo Broker atashughulika na jambo Hilo.Ukinunua Bond Mfano ya 25yrs utalipwa 12.56% Kila mwaka kwa miaka 25 then itamature na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.