Recent content by Introverted

  1. Introverted

    Ushauri kuhusu mashuka, pazia, mito na makapeti

    Sina muongozo na ndiyo maana nimeomba msaada sijui chochote ndio nafanya research
  2. Introverted

    Ushauri kuhusu mashuka, pazia, mito na makapeti

    Ww niambie kwa experience inabidi nianze na kiasi gan
  3. Introverted

    Ushauri kuhusu mashuka, pazia, mito na makapeti

    Mtaji inabidi niwe nawe angalau shilingi ngapi
  4. Introverted

    Ushauri kuhusu mashuka, pazia, mito na makapeti

    Ndiyo maana nmeweka mjadala nisaidiwe starting capital km unajua nisaidie ndugu
  5. Introverted

    Ushauri kuhusu mashuka, pazia, mito na makapeti

    Habari ndugu zangu, mm kijana wa kiume(26) napatikana Dar es salam-kigamboni, hivi karibuni nmepata wazo la kufanya biashara tajwa hapo juu lakin katika kuandaa business plan yafuatayo nayataftia majibu na ninyi nimeona ni watu sahihi kuwauliza na kupata hayo aidha katika kupeana ushauri...
  6. Introverted

    Nataka kufunga biashara yangu naomba ushauri

    Mimi ni kijana wa miaka 22 nimemaliza chuo mwaka huu nina degree ya kodi, baada ya kumaliza chuo kuna sehemu ya biashara nilipata ya mgahawa iko pwani. Wiki mbili za mwanzo biashara ilienda vizuri lakini baada ya hapo kila tukipika chakula kikawa kinabaki maana kwenye suala la wateja baada ya...
  7. Introverted

    Mawazo ya kutoka kimaisha kwa mtaji mdogo

    Kuna kale kamsemo nyanya ninyanyase 😂😂😂 aisee shkamoo nyanya😂
  8. Introverted

    Mjadala kwa wanaokubali kuoa (Ndoa)

    Ni kweli aisee kama mtu umekulia kwenye mikono ya wazazi wote wawili Tena ndo Kama una wadogo zako,Kaka au dada zako Ile furaha ambavyo inatawala nyumbani Yale mapenzi kutoka kwenye familia yenu huwezi ukaacha kuoa Yani kunakuaga na hisia tofauti aisee kama mtu umepata mapenzi yote kutoka...
  9. Introverted

    Tayari nimetoa mahari ukweni

    Nimecheka 😂😂
  10. Introverted

    Wafanyabiashara na wajasiriamali mliopo chuoni tukutane hapa

    Sidhani Kama humu JF Kuna wanachuo maana Uzi Ni mzuri Ila mwitikio ndo mchache
  11. Introverted

    Zinduka tumlinde mtoto wa kiume dhidi ya ulawiti

    Sasaiv mtu wa karibu ndo anaemlawiti mtoto na vitisho vingi kama ingewezekana kampeni za kupinga hili suala ziendeshwe hasa mashuleni coz mtu ambae unategemea awe mlinzi wa mtoto yeye ndo anakua Jangili inaumiza
  12. Introverted

    Naomba ufafanuzi

    Jiandae kuandika commitment letter Yani boom linahamishiwa kwenye Ada maisha yanaenda 😂 wengine mpaka tunamaliza chuo boom ndo limetusomesha
Back
Top Bottom