Recent content by intro

  1. intro

    Mwelekeo wa mpasuko: Taifa linapoingia katika eneo la hatari

    CCM has lost its soft power especially to the youth.
  2. intro

    Kataa kabisa urafiki au mahusiano ya kawaida na Askari Polisi

    Kuna polisi mmoja tulikuwa tunakutana kwenye bar fulani kuangalia hii mipira yetu ya bongo(Simba na Yanga).Jamaa yeye ni mnazi wa kutupwa wa Yanga.Huwa wakishinda hanipi nafasi ya kupumua ni utani mwanzo mwisho nami nakuwa mpole kama ilivyo desturi ya utani wa jadi.Basi bwana Mungu sio mzee...
  3. intro

    Rais Samia na miradi ya Magufuli, yeye tutamkumbuka kwa lipi?

    Aaanzishe yake kwa ilani ipi?Amechaguliwa lini?Yeye anamalizia pale alipopokea kijiti.Tuanze kumfanyia tathimini kama wewe unavyotaka kuanzia 2025 akishaingia Chamwino rasmi.Ila kwa sasa mwacheni amalizie.
  4. intro

    Rais Samia Suluhu ateua Wabunge wapya watatu na kuteua Baraza la Mawaziri

    Kuendelea kutambua uwepo was haya makundi Ni kuchochea chuki na kuhatarisha umoja was kitaifa...Tuendelee tu tunachokitafuta tutakipata.
  5. intro

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Asee mwenye wimbo wa MWANA DAR ES SALAAM YA TWANGA PEPETA tafadhali.
  6. intro

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Asee mwenye wimbo wa MWANA DAR ES SALAAM YA TWANGA PEPETA tafadhali.
  7. intro

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Wadau nafuta wimbo was MWANA DAR ES SALAAM WA TWANGA PEPETA.Naukubali kinoma
  8. intro

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mwenye wimbo was twanaga pepeta mwana dar es salaam.Naomba atupie.Nimeutafuta bila mafanikio.
  9. intro

    Unasikiliza wimbo gani sasa hivi?

    Nawaza na kufikiri majibu sipati\moyo unanchosha akili kwa mapenzi ya kufosii.kupenda pasipo dhamani kwangu taabani si sawa.Ni bora unipe moyo wangu niufichee. KIBA ALIIMBA SANA HUMU.
  10. intro

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Mwenye nyimbo 2 za madilu systeme 1.COLONISATION 2.EMANUELE SAMUELE
  11. intro

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    mkuu unafanyaje malipo betwAY KWA BONGO
  12. intro

    Pesa 8 zenye nguvu Afrika

    Naona mabeberu mmeanza kupika taarifa zenu ili kudhoofisha nguvu za raisi wetu mtufukufu wa jamuhuri ya ndizi.
  13. intro

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hamna hela ya supu leo asubuh?
  14. intro

    Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    "Mi ni almasi mchangani sema tu sijastukiwa.Mgodi unaotembea wajinga wanashindwa kuelewa." Mwenye hiyo nyimbo ya mwana fa jina silikumbuki.
Back
Top Bottom