Kweli kabisa kuna mmoja amenichanganya kabisa nimekaa nikafikilia amekuwa na Nini Cha ziada ambacho sikukiona mwanzo mbona nilikuwa na muona wakawaida sana mpaka tulipoanza uhusiano kidogo.
Ila saivi napambana nimtoe moyoni ili akili itulie lakini bado inakuwa ngumu sijui kwanini
Mkuu unajuaje kama amekosa au amepata maana kuna dogo yeye kwenye allocation status ameandikiwa "the analysis of your application is yet to be finalized.You are advised to visit your SIPA when subsequent loan batches are released"
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.