Wakuu salama asee nimekuja korogwe kwa mchepuko sasa bna usafiri kugeuka Arusha ni tabu sana ntachangia nauli iliyokuwa nilipe kwa Bus kwa mtu yoyote mwenye private car anaelekea Arusha
Update: kuna Mtu kanipigia simu yupo Michungwani ivo namsubiri
Sana sana watafurahishwa na Jinsi nyumbu walivyojaza bendera za Taifa lao majumbani kwao na Huku wakiamini Israel ndio taifa la mungu na mwenye kulibariki nae atabarikiwa Watashangaa sana hao jamaa ila kuhusu manabii hapo kuna ambao watajitoa tu ufahamu wakawalambe miguu hao wanaoitwa watoto wa...
Fragile niliambiwa ni mbaya sana hio mkuu siwezi ata kuitumia mana kuna point naweza kujisahau nikakata maji halafu afu nikakata na moto pia hio dawa apana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.