Intelsat
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 323
- 532
Wakuu nimemaliza leo dozi ya Malaria Mseto. Sasa hapa moja haikai wala mbili najuta sana kutumia hii dozi msimu wa sikukuu.
Nimemalizia vidonge vinne leo asubuhi sasa wakuu vipi nikizama maeneo leo usiku au kesho nikagonga gonga hivi viserengeti lite au Castle lite kuna shida?
Hali ya kiafya sio mbaya kabisa meaning naendelea na pilika za kuandaa sikukuu.
Nishaurini wakuu.
Nimemalizia vidonge vinne leo asubuhi sasa wakuu vipi nikizama maeneo leo usiku au kesho nikagonga gonga hivi viserengeti lite au Castle lite kuna shida?
Hali ya kiafya sio mbaya kabisa meaning naendelea na pilika za kuandaa sikukuu.
Nishaurini wakuu.