Baba Joseph17
JF-Expert Member
- Jul 15, 2013
- 9,518
- 9,792
Hata
Sent using Jamii Forums mobile app
Msamehe bure hawa vijana waliosoma enzi hizi hawajui historia hata kusoma vita ya Kagera, dogo atakuwa katumwa na PKkama unalipwa kuandika hadithi za abunuasi juu ya PK...sawa
but kama unajisemea kwamba PK ndiye aliyemtimua Amini...INA kupasa utoe maelezo ya kutosha..yaliyoshiba
na si abrakadabra
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app