Mjue jasusi Paul Kagame

Mjue jasusi Paul Kagame

Hata
kama unalipwa kuandika hadithi za abunuasi juu ya PK...sawa

but kama unajisemea kwamba PK ndiye aliyemtimua Amini...INA kupasa utoe maelezo ya kutosha..yaliyoshiba

na si abrakadabra

Sent using Jamii Forums mobile app
Msamehe bure hawa vijana waliosoma enzi hizi hawajui historia hata kusoma vita ya Kagera, dogo atakuwa katumwa na PK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayo waliyokuwa wanafanya akina Kagame na Museveni yalibarikiwa Ikulu ya Magogoni na usikute hata unavyomsifia Kagame Backup ya Intelligence alikuwa anaipata kutoka TZ, Jiulize swali kama anaijua vizuri Intelligence mbona Kashindwa kumuondoa Kaguta pale UG, Mbona M23 ilikufa kifo cha mende baada ya General Mwakibolwa kuwapiga mizinga ya kutosha hadi Kagame akaingia bifu na JK?

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani, Naomba utumegee hiyo ya General Mwakibolwa na M23 namna mkanda ulivyokuwa.
 
amepitia mengi ila ukweli usiopingika ni kwamba, hiyo mikono yake imemwaga san damu.
 
Back
Top Bottom