Recent content by instanbul

  1. instanbul

    JamiiForums Tanzania Lipo jitu lenye miguvu na mapembe makali linaloamua mustakabali wa nchi yetu linauwa linajeruhi ni hatari kwa kila mtanzania

    As long as ni binadamu. Ipo siku yake tu. Labda kama sio binadamu anayelala usiku na kufumba macho
  2. instanbul

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Maelekezo toka juu: Fungeni account za CHADEMA siku chache kabla ya mkutano mkuu, wape kesi ya utakatishaji

    Wanazidi kuwafanya maarufu. Hiv huko CCM hakuna Mtu mwenye akíli hata mmoja?
  3. instanbul

    JamiiForums Tanzania Kosa hili la kidiplomasia la Rais Samia ndio lilisababisha mpango wa Dangote wa Refinery ubadilishwe kutoka Tanga na kwenda Mombasa

    Tungekuwa na uongozi mzr. Hio refinery Bado ingejengwa Tz. Kenya nao Wana matatizo Yao Tena makubwa.
  4. instanbul

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Mimi Toka wameua vijana mwaka Jana sinaga time na kuchangia huu Uzi .acha wakenya washinde tu na maendeleo Yao. Siwezi kuchangia na kujitapa maendeleo ya Tz huku Mtu anaua watu zaidi ya 1000 na anaabudiwa as if nothing happened. I will come back. Siku akitoka na kuwajibika kwa aliyoyafanya...
  5. instanbul

    JamiiForums Tanzania Ushauri wangu kwa wanaharakati ni kwamba, uchaguzi huru haiwezekani, maandamano mnauwawa - basi tafuteni njia mbadala ya kubadilisha uongozi nchini

    Njia ipi itumike? Maandamano ni njia sahihi. Maana watawala wanayaogopa mno. Njia nyingine ni kugoma nchi nzima
  6. instanbul

    JamiiForums Tanzania Kama shule zinarudisha watoto majumbani, kwanini serikali isiruhusu maandamano na kuyalinda? Shida iko wapi?

    Tunakaribia mwaka sasa. Watahangaika tu
  7. instanbul

    JamiiForums Tanzania Hiki kifo ni ujumbe kwa Heche?

    Ogopa Damu Mzee. Hata kama una akili timamu. Utaforsiwa kufanya mambo ya hovyo. Ili uzidi kujutia maishani na ukose Amani Na mwisho wao uko karibu. Maana nchi imevimba sana.
  8. instanbul

    JamiiForums Tanzania Hiki kifo ni ujumbe kwa Heche?

    Kuna kundi kubwa la wahuni, experts wanamzunguka. Ndio waliomuweka na ndo Wana control kila kitu. Ndo wanaita deep state. Ndo maana hata yeye anajificha kupita Maelezo. Yeye utamuona kwenye tv Wakati wa hafla tu. Kamwe hutamuona akikagua labda SGR kwa nini hawaanzi kusafirisha mizigo Toka...
  9. instanbul

    JamiiForums Tanzania Uelewa wa Watanzania bado ni mdogo, inaelekea propaganda za CCM zimeshinda

    Mkuu, wew ulitaka wananchi wafanye nini kama CCM inatumis Dola kwenye kila kitu. Maandamano ni week ijayo. Lakin vituo vyote vya BRT na junction mmejaza armed police. Kila mahali wanajeshi wametandazwa utafikiri nchi iko vitani. Tunakaribia mwaka sasa Toka uchaguzi wa last year. Hakuna kitu...
  10. instanbul

    JamiiForums Tanzania Masaki na Oysterbay Baada ya Miaka 7 itakuwa ya wachina

    Naona Morocco yote, Kuna wachina wamenunua sana pale. 2029 kitakuwa zaidi ya makumbusho
  11. instanbul

    JamiiForums Tanzania Walio karibu na Heche mlindeni sana

    Hao watu washaamua liwalo na liwe. Movement ya Jana ni ya ajabu. Labda damu inawafanya kuwa na mioyo migumu
  12. instanbul

    JamiiForums Tanzania HOJA Ushauri wangu: Mabasi ya abiria ya mikoani yaishie Mbezi Magufuli

    Tena Morogoro road yote. Bajaji na bodaboda ndo wanasababisja foleni. Ngoja tuone labda TransDar watasaidia kuwaondosha wotem maana kufeli kwa mwendokasi ndo maana tunaona Bajaji na daladala wanapata abirira
  13. instanbul

    JamiiForums Tanzania PPPTZ: TANROADS yatangaza miradi 6 ya barabara za PPP zenye urefu wa km 969

    Barabara ya Kibaha to Morogoro inabidi iwe kipaumbele
  14. instanbul

    JamiiForums Tanzania Wakati tukiwa kwenye mabishano yasiyoisha kuhusu uwanja wa Serengeti, Wakenya wameshaanza kujenga international airport kurahisisha safari za watalii

    Una uhakika kun ujenzi unaendelea kenya? Maana hao watu kwa PR hawajambo
Back
Top Bottom