Recent content by instanbul

  1. instanbul

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Simbachawene ameamua kuidai Tanganyika na kutaka uwajibikaji ndani ya CCM

    Think beyond. Huyo mama anaanguka trust me. Hata wakina Rostam, watamkacha. Mauaji yatakuwa makubwa. Wakijifanya kichwa ngumu. NB. Simbachawene hawezi kuteuliwa na huyu mama Tena. Huyu mama akitema ametema. Muandishi ni yeye mwenyew
  2. instanbul

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Walimchagua? Ulikuwepo Tz Wakati wa uchaguzi. Yeye mwenyew anajua kuwa hakuchaguliwa
  3. instanbul

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Kasitaafu siasa
  4. instanbul

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Muda wake utafika tu. Kwanza kwa sasa legacy yake ishakufa na ni chafu. Ataondoka kwa aibu
  5. instanbul

    JamiiForums Tanzania Nini chanzo Cha kifo Cha mpishi wa Emmanuel nchimbi wiki iliyopita?

    Ni kweli niliona post mahali.
  6. instanbul

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Kwan anatumia uchawi gan yeye na kikwete kushinda kila pambano. Au ni watu special kwa Mungu wetu. Tanzania unazidi kujifia aisee
  7. instanbul

    JamiiForums Tanzania Keep waiting , Barua ishaandaliwa

    Wew jamaa inakuwaga na info ..hata Samia naye anajiuzulu ama?
  8. instanbul

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Wagombane tu. Mpaka tufike 2030
  9. instanbul

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Watajua wenyew
  10. instanbul

    JamiiForums Tanzania Nchi zilizoendelea kama South Afrika na Ulaya huwezi kukuta mabasi yanapewa amri kama hizi za kupakilia Magufuli stand .

    Wew ni bwege tu. Kuita mwanaume Dada. Nakuignore. Na mtahamia Magufuli mtake mistake Mbona SGR mnaifata posta Wakati mnaelekea Morogoro kwa 13k. Na kituo kifuatacho ni bajaji. Bajaji zitapigwa marufuku mjini. Mark my words
  11. instanbul

    JamiiForums Tanzania Nchi zilizoendelea kama South Afrika na Ulaya huwezi kukuta mabasi yanapewa amri kama hizi za kupakilia Magufuli stand .

    Hakuna inategemea. Mabus Yao mengi yanaanzia park station. Naongea hivyo kama Mtu niliyeishi Capetown. Hata Joberg. Mabus Yao mengi yanaanzia au lazima yapite park station.
  12. instanbul

    JamiiForums Tanzania Nchi zilizoendelea kama South Afrika na Ulaya huwezi kukuta mabasi yanapewa amri kama hizi za kupakilia Magufuli stand .

    Lakin Joberg, Capetown na Durba . Kuna park stations..almost mabus yote yanaanzia safari hapo au karibu na hapo. Wao zimejengwa mjini kabisa Mfano capetown. Mabus kama intercape, lazima lianzie stand mkuu ya parkstation then do linaenda ofisi zao kuchukua abiria wengine
  13. instanbul

    JamiiForums Tanzania HOJA Sera Mpya ya 'Cashless' itafeli, sababu ni hizi

    Tatizo maslahi Na kuvuna usipowekeza. Lipa kwa simu haikupaswa kuwa na makato kabisa hasa kwa muamala midogo midogo kabisa
Back
Top Bottom