Wacha yamkute, si aliwasikiliza wahuni? Angemsikiliza polepole na the like. Sasa angejistaafia zake huko kizimkazi akilima karafuu. Labda angekuwa mkuu wa chuo cha Zanzibar akila Bata.
Sasa akitoka hata kwa kufa. Generation yake, itatolewa kwenye mfumo haraka sana.
Na walivyoside na Samia kwenye mauaji. Watz watawabeza na kuwatukana vibaya sana.
Nawahurumia wanajeshi wa chini.
Tuliona hata Wakati wakiwapeleka Watz walivyo kuwa wakiwabeza jinsi walivyoshindwa kulinda Watz na sasa wanaenda Congo.
Kazi wanayo
Cha ajabu. Facebook ni sehemu ya kampuni ya meta inayolipa kwa Tanzania . Mimi Facebook inanilipa Hadi dollar 1000 kwa mwezi kupitia matangazo ya kwenye posts zangu.
Facebook na YouTube ni mitandao pekee inayolipa hapa tz.
Huko IG, sijui TikTok jf. Wew ndo unatumia bundle lako. But huko...
Nadhani anatamani kufanya hivyo. But anaogopa kuuwawa.
Yani hata ukimuangalia anaonekana hayuko sawa. Basi tu anaforce.
Sema Kuna kundi la watu wanamforce kubaki hapo. Lakin wao hawataki lawama.
Kama hujui polepole ndo kahamasisha watu kuandamana.
Hao chadema mnawasingizia.
Polepole ndo kawafanya CCM na serikali nzima kuishi kama digidigi.
Tunahitaji vijana 100 kama polepole. Hii nchi tutafikia hata level ya Morocco
Ulaji. Siku hiz pesa ziko kwenye kuanzisha miradi mipya.
Waulize TRC kwa nini treni za ghorofa zimepark, kipande cha kuingia bandarini mbona kinasuasua, na maswali kibao kama lot 3,4 nk
Hawawi wawazi sana. Na serikali ni kama imewaignore, yaani sio kipaumbele chao.
Hii nchi inaumiza kichwa sana
Wew siku hiz umekuwa kichaa.
Toka ulipobeza maandamano tarehe 29 na baadae yakatokea hadi tukafungwa ndani siku Sita
Nilikushusha sana.
Naona unaandika porojo tu.
Ati huwezi shindana na dola ukaishinda, sema Muda ni mwalimu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.