Kumbe wanigeria hawana akili na wanadanganyana. Kumbe Ndo maana nchi yao haitawahi kuendelea pamoja na kuwa na mafuta mapipa kibao
https://x.com/renoomokri/status/1783905258147565846?t=clc4dWb_pL3hLqDw8w7iYw&s=09
Hiyo Muleba na misenyi unazoziona hapo zote ilikuwa Bukoba kabla ya kukatwa katwa. Sasa ukichukua Bukoba vijijini, mjini, Muleba, na misenyi ukakusanya mapato yake real Bukoba lazima iwe top 5 tu.
Halafu mtu anakuja anasema wahaya sijui nini. Ndo maana uwanja wa ndege Bukoba una abiria wengi...
Imagine hapa ni Nairobi karibu kabisa Bank of Kenya halafu unacheka masaki 9km from CBD
Hio Barabara ni karibu kabisa na city centre. Hakuna kuchekana Nairobi city is decaying nowadays
Labda nipost picha tu nikuonyeshe kuwa Kenya Wana matatizo kama sisi tu. Nairobi city inadecay Kila kukicha. Na hapo less a kilometer kutoka Kenya administration offices
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.