Recent content by instanbul

  1. instanbul

    Rais Samia amefuata ushauri wa Prof. Janabi? Mbona amepungua sana!

    Wacha yamkute, si aliwasikiliza wahuni? Angemsikiliza polepole na the like. Sasa angejistaafia zake huko kizimkazi akilima karafuu. Labda angekuwa mkuu wa chuo cha Zanzibar akila Bata. Sasa akitoka hata kwa kufa. Generation yake, itatolewa kwenye mfumo haraka sana.
  2. instanbul

    Tetesi: Vifo vya Wanajeshi wa JWTZ Minembwe, Congo: kama ni kweli, Je Samia na Mkunda wanahusika?

    Na walivyoside na Samia kwenye mauaji. Watz watawabeza na kuwatukana vibaya sana. Nawahurumia wanajeshi wa chini. Tuliona hata Wakati wakiwapeleka Watz walivyo kuwa wakiwabeza jinsi walivyoshindwa kulinda Watz na sasa wanaenda Congo. Kazi wanayo
  3. instanbul

    Pajengwe Misikiti kila Stesheni ya SGR

    Nyinyi ndo mmejenga msikiti Coco beach. Yaani mna matatizo
  4. instanbul

    Hivi wenzetu mnaotumia Facebook mna akili timamu kweli?

    Cha ajabu. Facebook ni sehemu ya kampuni ya meta inayolipa kwa Tanzania . Mimi Facebook inanilipa Hadi dollar 1000 kwa mwezi kupitia matangazo ya kwenye posts zangu. Facebook na YouTube ni mitandao pekee inayolipa hapa tz. Huko IG, sijui TikTok jf. Wew ndo unatumia bundle lako. But huko...
  5. instanbul

    Samia ukiamua kujiuzulu ukalipwa pensheni kwa amani au ukaamua kukabidhi wauaji wote ukajitenga nao huoni taifa litatoka hapa?

    Nadhani anatamani kufanya hivyo. But anaogopa kuuwawa. Yani hata ukimuangalia anaonekana hayuko sawa. Basi tu anaforce. Sema Kuna kundi la watu wanamforce kubaki hapo. Lakin wao hawataki lawama.
  6. instanbul

    Mauaji yaliyotokea awamu ya Rais Samia yatajibiwa na karma!

    Alisemaga tunzeni taarifa. Kwa kusisitiza
  7. instanbul

    Kitendo cha Mzee Butiku kujitokeza kujibu juu ya Polepole kutekwa ni dhahiri kuwa anafahamu mchongo mzima

    Kama hujui polepole ndo kahamasisha watu kuandamana. Hao chadema mnawasingizia. Polepole ndo kawafanya CCM na serikali nzima kuishi kama digidigi. Tunahitaji vijana 100 kama polepole. Hii nchi tutafikia hata level ya Morocco
  8. instanbul

    Kama Rais anajibiwa, kukosolewa na wakati mwingine kubagazwa Mwacheni Mzee Warioba naye apewe dozi. Demokrasia hiyo. Inahitaji uvumilivu.

    Wew nilikuignore Toka October 29. Ndo maana hata audience yako imepungua mno. Mengi kaa kimya
  9. instanbul

    Pole sana Waziri Salum Rajab - kimekurambaaa!

    Hope umeuelewa sasa
  10. instanbul

    Mpango wa kuanza ujenzi SGR Mijini wakati kipande cha Dodoma- Mwanza kinasuasua, nani ameubariki?

    Ulaji. Siku hiz pesa ziko kwenye kuanzisha miradi mipya. Waulize TRC kwa nini treni za ghorofa zimepark, kipande cha kuingia bandarini mbona kinasuasua, na maswali kibao kama lot 3,4 nk Hawawi wawazi sana. Na serikali ni kama imewaignore, yaani sio kipaumbele chao. Hii nchi inaumiza kichwa sana
  11. instanbul

    Nafikiria kuhama Catholic

    Kanisa ni moja takatifu, katoliki na la mitume. Usiposadiki. Unaruhusiwa kuhamia. Siku Maaskofu wengi wa Anglican wanaamia katoliki
  12. instanbul

    Kuifuta CCM sio kuondoa matatizo ya taifa hili. Hiyo ni propaganda yenye uongo Mkubwa

    Wew ni mtu Mwingine wa kuongeza kwenye ignore list
  13. instanbul

    Kitu pekee kinachoonyesha serikali ipo salama ni Siri zake kutokuvuja

    Wew siku hiz umekuwa kichaa. Toka ulipobeza maandamano tarehe 29 na baadae yakatokea hadi tukafungwa ndani siku Sita Nilikushusha sana. Naona unaandika porojo tu. Ati huwezi shindana na dola ukaishinda, sema Muda ni mwalimu
Back
Top Bottom