Recent content by instanbul

  1. instanbul

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Kuna ile ukifika Tazara karibu na njia ya panda ya vigunguti.panaitwa karakana Sijui mchicha,..yale maroli yanasababishaga foleni njia ya airport na soon hiyo barabara ya airport itaharibika tu. Na baadhi ya siku yatakuwa yanavamia mwendokasi na vituo vyake Imagine njia ya airport inakuwa na maroli
  2. instanbul

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Soon wanachukua na lugalo, ni suala la muda tu
  3. instanbul

    JamiiForums Tanzania KERO Yard ya GSM Mbagala imeongeza tatizo la foleni

    Wanamtumia kusafisha pesa zao. Imagine eneo kama jangwani Mtu anaweka ICD, matokeo yake Barabara zote za kigogo na Msimbazi zimeharibika
  4. instanbul

    JamiiForums Tanzania Wabunge wetu, hasa Msukuma, mmeiumbua serikali kwa kuvunja sheria ya ROAD FUND

    Ndo maana barabara hazijarabatiwi siku hiz. Nchi nzima ni mashimo Kila mahali
  5. instanbul

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Haiwezi kuachia madaraka yule. Wanawake Sana roho ngumu Sana na wanavumilia maumivu na stress kuliko wanaume
  6. instanbul

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Anazidi kuharibu maskini. Anatapa tapa. Ngoja tuone mwisho wake Damu inaadhibu vibaya mno. Mpaka 2030 ataisoma number
  7. instanbul

    JamiiForums Tanzania Hawa Manabii wa Kenya Wana Nini na Viongozi wa Tanzania?!, Kitendo cha Nabii wa Kenya Kumtaka Rais Wetu Atubu kwa ya Oct. 29, Sio Dharau?

    Watz 90% wanawish huo utabiri utumie hata kesho. Mmeshindwa kuwaunganisha na kuwafariji watz au kuwapunguzia mzigo wa maisha nagumu na mbawakera Kila siku. Wameamua kuwaignore, ndo maana post za serikali hata miradayo unakuta engagement ndogo Sana. Sasa watabiri na manabii wakitoa utabiri...
  8. instanbul

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Bongo na Ndoto ya Content Creation

    Tafuta kijana Youtube anaitwa Explore with Bertin. Hata hajionyeshi sura ila ametembea zaidi ya 25 Afríca Tena Youtube inamlipa vzr na analipa kodi nzr kuliko wakulima wote wa kijiji chenu. Maana TRA wanachukua 5% ya malipo yao Kila mwezi
  9. instanbul

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Bongo na Ndoto ya Content Creation

    Haujui tu. Na acha kuwakatisha tamaa kwa sababu haujui kitu. Content inalipa sana hasa Youtube
  10. instanbul

    JamiiForums Tanzania Vijana wa Bongo na Ndoto ya Content Creation

    Haujui tu. Ukiwa serious hasa Youtube inalipa sana.
  11. instanbul

    JamiiForums Tanzania Je Captain Tesha, Habil na Kabil ilikuwa project ya Night walk ya Wana usalama?

    Wew toka ubeze maandamano siku ya asubuhi ya 29 October. Sikuchukulii serious tena
  12. instanbul

    JamiiForums Tanzania Yanga yamfuta kazi Kocha Mkuu Pedro Gonçalves

    Spinning. Watu wasijadili mafuta kupanda
  13. instanbul

    JamiiForums Tanzania Wito: Jaji Mkuu Masaju Achia Ngazi

    Sijui Mama anawaroga. Tz siku hiz. Wameishikilia kweli kweli wahuni. Check wanavyopandisha mafuta watakavyo Hakuna Mtu CCM wa kuhoji
  14. instanbul

    JamiiForums Tanzania Hivi ni mimi tu ninayekerwa na hawa polisi wenye mitutu ya bunduki barabarani!??

    Alitahadharisha Gwajima. Hawakumsikiliza. Hao anguko lao liko karibu. Nchi imevimba mno. Itawapasukia
  15. instanbul

    JamiiForums Tanzania Kuna tija gani kuingiza mchepuko wa BRT phase 3 airport?

    Kimsingi wako sahihi sana. Inabidi Tena iingie ndani kabisa terminal 3 na 2. Tembelea nchi za watu uone Kwa na SGR pale station, BRT ilipaswa iingie ndani, watu wasivuke kabisa Barabara. Tembelea south Africa miji ya Capetown and Johannesburg ujifunze
Back
Top Bottom