Kuna ile ukifika Tazara karibu na njia ya panda ya vigunguti.panaitwa karakana Sijui mchicha,..yale maroli yanasababishaga foleni njia ya airport na soon hiyo barabara ya airport itaharibika tu. Na baadhi ya siku yatakuwa yanavamia mwendokasi na vituo vyake
Imagine njia ya airport inakuwa na maroli
Watz 90% wanawish huo utabiri utumie hata kesho.
Mmeshindwa kuwaunganisha na kuwafariji watz au kuwapunguzia mzigo wa maisha nagumu na mbawakera Kila siku.
Wameamua kuwaignore, ndo maana post za serikali hata miradayo unakuta engagement ndogo Sana.
Sasa watabiri na manabii wakitoa utabiri...
Tafuta kijana Youtube anaitwa Explore with Bertin. Hata hajionyeshi sura ila ametembea zaidi ya 25 Afríca
Tena Youtube inamlipa vzr na analipa kodi nzr kuliko wakulima wote wa kijiji chenu. Maana TRA wanachukua 5% ya malipo yao Kila mwezi
Kimsingi wako sahihi sana. Inabidi Tena iingie ndani kabisa terminal 3 na 2.
Tembelea nchi za watu uone
Kwa na SGR pale station, BRT ilipaswa iingie ndani, watu wasivuke kabisa Barabara.
Tembelea south Africa miji ya Capetown and Johannesburg ujifunze
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.