Recent content by instanbul

  1. instanbul

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Wenyew siasa zao zinaendeshwa kwa ukabila na uongo mwingi.
  2. instanbul

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Kumbe wanigeria hawana akili na wanadanganyana. Kumbe Ndo maana nchi yao haitawahi kuendelea pamoja na kuwa na mafuta mapipa kibao https://x.com/renoomokri/status/1783905258147565846?t=clc4dWb_pL3hLqDw8w7iYw&s=09
  3. instanbul

    Hii hapa Miji na Wilaya 60 zenye mapato mengi na mzunguko mkubwa wa biashara Tanzania

    Hiyo Muleba na misenyi unazoziona hapo zote ilikuwa Bukoba kabla ya kukatwa katwa. Sasa ukichukua Bukoba vijijini, mjini, Muleba, na misenyi ukakusanya mapato yake real Bukoba lazima iwe top 5 tu. Halafu mtu anakuja anasema wahaya sijui nini. Ndo maana uwanja wa ndege Bukoba una abiria wengi...
  4. instanbul

    Mikoa 10 iliyokusanya mapato mengi mwaka wa Fedha 2022/23 kupitia halmashauri zake

    Tulishakubali Kagera ni maskini ya kutupwa. Sasa huku inatoka wap tena
  5. instanbul

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Hampendi kuambiwa ukweli. Mnajifanya level za Britain kumbe waburundi tu
  6. instanbul

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Ni pa hovyo sana. Huko downtown Kuna Hadi Barabara za vumbi halafu uko too congested
  7. instanbul

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Acha story za jaba. Hakuna BRT construction yoyote inayoendelea Kenya. Na hapo Bado sijaenda downtown Nairobi ni aibu kwa capital city
  8. instanbul

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Unaleta picha za 2010 huko. This is kaitaba Stadium Bukoba
  9. instanbul

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Imagine hapa ni Nairobi karibu kabisa Bank of Kenya halafu unacheka masaki 9km from CBD Hio Barabara ni karibu kabisa na city centre. Hakuna kuchekana Nairobi city is decaying nowadays
  10. instanbul

    Waafrika tuna uwezo mdogo wa kujiongoza kimaendeleo, Naomba unitajie nchi moja tu ya kiafrika inayoendeshwa na waafrika iliyo stable?

    Labda nipost picha tu nikuonyeshe kuwa Kenya Wana matatizo kama sisi tu. Nairobi city inadecay Kila kukicha. Na hapo less a kilometer kutoka Kenya administration offices
  11. instanbul

    Waafrika tuna uwezo mdogo wa kujiongoza kimaendeleo, Naomba unitajie nchi moja tu ya kiafrika inayoendeshwa na waafrika iliyo stable?

    Labda kama Kuna Kenya nyingine tofauti na hii niliyoishi. Kenya na Tz hazitofautiani sana kimaendeleo.
  12. instanbul

    Mabinti wa kichaga wamekuwa kimbilio la wengi, wahojiwe wana siri gani

    Ni siku nyingine ya kujisifia...maana mmeona hamjaongelewa muda. Kwa nini mnatumia nguvu kubwa kutafuta attention
  13. instanbul

    Kesho tarehe 07/04/2024 ni siku rasmi ya Uzinduzi wa shughuli za D. P. WORLD nchini Tanzania

    Umenifanya nicheke Ngoja tuone kama ule msururu wa meli Kule coco beach utaondoka. Maana kulikuwa na foleni hatari
Back
Top Bottom