Mimi Toka wameua vijana mwaka Jana sinaga time na kuchangia huu Uzi
.acha wakenya washinde tu na maendeleo Yao.
Siwezi kuchangia na kujitapa maendeleo ya Tz huku Mtu anaua watu zaidi ya 1000 na anaabudiwa as if nothing happened.
I will come back. Siku akitoka na kuwajibika kwa aliyoyafanya...
Ogopa Damu Mzee. Hata kama una akili timamu. Utaforsiwa kufanya mambo ya hovyo. Ili uzidi kujutia maishani na ukose Amani
Na mwisho wao uko karibu. Maana nchi imevimba sana.
Kuna kundi kubwa la wahuni, experts wanamzunguka.
Ndio waliomuweka na ndo Wana control kila kitu.
Ndo wanaita deep state.
Ndo maana hata yeye anajificha kupita Maelezo. Yeye utamuona kwenye tv Wakati wa hafla tu. Kamwe hutamuona akikagua labda SGR kwa nini hawaanzi kusafirisha mizigo Toka...
Mkuu, wew ulitaka wananchi wafanye nini kama CCM inatumis Dola kwenye kila kitu.
Maandamano ni week ijayo. Lakin vituo vyote vya BRT na junction mmejaza armed police. Kila mahali wanajeshi wametandazwa utafikiri nchi iko vitani.
Tunakaribia mwaka sasa Toka uchaguzi wa last year.
Hakuna kitu...
Tena Morogoro road yote. Bajaji na bodaboda ndo wanasababisja foleni.
Ngoja tuone labda TransDar watasaidia kuwaondosha wotem maana kufeli kwa mwendokasi ndo maana tunaona Bajaji na daladala wanapata abirira
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.