Mungu anakosolewa na kitukanwa, wakati mwingine na walevi mbona hawachapi viboko badala take huwajaalia ridhiki walevi haya wapate kuishi na kesho. Mkuu pia uongozi huanza na familia mbona baba nyumbani akikosea hukodolewa? Tena wakati mwingine na kitoto kudogo
Mkuu nwalimu alipinga uwekezaji wa kijinga, alipinga azimio LA Zanzibar, pia hata kwenda kutibiwa uingereza alipinga pia, na aliwaonya wanaccm bila nafanikio sikiliza hotuba zake.
Amani iwe nanyi, kuna upotoshaji kwamba mwalimu alifanya makosa na hakutuanda kuwa taifa.
Kauli km hizi na nyingine nyingi za kumlaumu ni za kipuuzi kwani mwalimu alituandalia mipango ya kujitegemea, utamaduni mzuri, mpaka azimio LA arusha.
Waliokuja kutuhujumu ni ccm chini ya mkapa, hawa ndo...
Chama chenu na nani? Acha unafiki mkuu km masikio huna hata macho huoni, mikutano ya siasa imepigwa marufuku na mtukufu isupokua kwa wanaccm we kwa mazingira haya ungekuwa ndo mboe ungefanyaje? Nakumbuka maneno ya babu, wanazima ujinga in ugonjwa hautibiki.
Acha unafiki mkuu kwani hujui...
Chama chenu na nani? Acha unafiki mkuu km masikio huna hata macho huoni, mikutano ya siasa imepigwa marufuku na mtukufu isupokua kwa wanaccm we kwa mazingira haya ungekuwa ndo mboe ungefanyaje? Nakumbuka maneno ya babu, wanazima ujinga in ugonjwa hautibiki.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.