Recent content by Inspector66

  1. I

    Polisi wa Tanzania mnachangia sana kuwaongezea wananchi chuki dhidi ya Rais

    Umeona mbali mkuu Ila mtukufu huwa hasikilzi ushauri au umesahau?
  2. I

    Sheikh Noordin Kishk wa Temeke ammwagia sifa Rais Magufuli kwa kukemea utovu wa maadili!

    Waislam wa wapi ule ni msimamo wa sheih mwenyewe sio waislam wa temeke afute kauli upesi.
  3. I

    Watanzania tumezidi kukosoa

    Mungu anakosolewa na kitukanwa, wakati mwingine na walevi mbona hawachapi viboko badala take huwajaalia ridhiki walevi haya wapate kuishi na kesho. Mkuu pia uongozi huanza na familia mbona baba nyumbani akikosea hukodolewa? Tena wakati mwingine na kitoto kudogo
  4. I

    Nyerere hakufanya makosa, Bali wanaccm

    Mkuu nwalimu alipinga uwekezaji wa kijinga, alipinga azimio LA Zanzibar, pia hata kwenda kutibiwa uingereza alipinga pia, na aliwaonya wanaccm bila nafanikio sikiliza hotuba zake.
  5. I

    Nyerere hakufanya makosa, Bali wanaccm

    Amani iwe nanyi, kuna upotoshaji kwamba mwalimu alifanya makosa na hakutuanda kuwa taifa. Kauli km hizi na nyingine nyingi za kumlaumu ni za kipuuzi kwani mwalimu alituandalia mipango ya kujitegemea, utamaduni mzuri, mpaka azimio LA arusha. Waliokuja kutuhujumu ni ccm chini ya mkapa, hawa ndo...
  6. I

    Edward Lowassa ahawakikishia 'Makamanda' ushindi mwaka 2018

    Nimekupa gari na mshahara mnono, olee wako kwenye uchaguzi umtangaze mpinzani kashinda"nimenukuu"
  7. I

    Miaka miwili ya kupotea kwa ‘Peoples Power’, makamanda tujitathimini tumekosea wap?

    Chama chenu na nani? Acha unafiki mkuu km masikio huna hata macho huoni, mikutano ya siasa imepigwa marufuku na mtukufu isupokua kwa wanaccm we kwa mazingira haya ungekuwa ndo mboe ungefanyaje? Nakumbuka maneno ya babu, wanazima ujinga in ugonjwa hautibiki. Acha unafiki mkuu kwani hujui...
  8. I

    Miaka miwili ya kupotea kwa ‘Peoples Power’, makamanda tujitathimini tumekosea wap?

    Chama chenu na nani? Acha unafiki mkuu km masikio huna hata macho huoni, mikutano ya siasa imepigwa marufuku na mtukufu isupokua kwa wanaccm we kwa mazingira haya ungekuwa ndo mboe ungefanyaje? Nakumbuka maneno ya babu, wanazima ujinga in ugonjwa hautibiki.
  9. I

    Meya wa Manispaa ya Moshi akanusha tuhuma kuhusu CCM

    Alichonena mega in sahihi, maana mbunge au diwani anapoacha uongozi kwa kuhama chama in militia taiga hasara ya uchaguzi mdogi
Back
Top Bottom