Watanzania tumezidi kukosoa

Watanzania tumezidi kukosoa

Watanzania wapumbavu wachache hawajui thamani ya kitu hadi kitakapopotea lakini tulio wengi tunathamini na kuunga mkono juhudi za mh Rais katika kutupeleka katika uchumi wa kati
Kwa bashite labda kwa takwimu za mpango toka
7.7 to 6.8 za world bank ni toka 6.8 to5.2
Uchumi wa kati labda kwa mama yake chato he is a failure atoke atuachie nchi yetu
 
Watanzania wapumbavu wachache hawajui thamani ya kitu hadi kitakapopotea lakini tulio wengi tunathamini na kuunga mkono juhudi za mh Rais katika kutupeleka katika uchumi wa kati
Wewe ndio pumbavu kabisa. Eti na wewe uko chuo kikuu!!!! Elimu yako haijakusaidia na haitokusaidia kamwe.
 
Walisema hawatamuunga mkono. Rais wao ni lowasa. Najaribu kukumbusha tu. Hawamtambui sasa ww unachowashangaa nini pengine? Hiyo ni kauli ya vijana wa bavicha
 
Kafulila a.k.a Tumbili alisifiwa na Mtukufu hazikupita siku akahama na kuhama kwenda kula ktk meza ya bwana. Wewe nawe toka ule mkutano ulipouliza swali na mtukufu akafafanua jina lako kwa kabila lenu basi ushakuwa mtu wa kuangalia utoke vipi maana unahisi swali lile ni kama lilifungua fursa ila ujue shida ni kwamba wenye ndoto kama zako mko wengi itachukua muda kukufikia riziki!
 
Hatuchagui malaika,lakini tungependa yule tuliemuandika kazi baada ya kumpigia kura,kutosahau kuwa ni mtumishi wa wote bila ubaguzi.
Pia tungependa kumkubusha kuwa kutawala watu hakuhitaji degree ya chuoni bali hekima na utashi.
 
IMG_1514616310.203263.jpg
IMG_1514616321.053155.jpg
IMG_1514616333.440515.jpg
 
Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza
Ukiona hivyo ujue wanaokosolewa wamezidi kukosea..!
 
Tatizo sio kuwa tunasema yeye sio binadamu na hatakiwi kuwa na madhaifu......tatzo ni kwamba akiambiwa madhaifu au mapungufu au hata kukumbushwa inapoonekana hajaenda sawa anachukia na hataki.....thats the problem mister.

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
 
Hatuchagui malaika,lakini tungependa yule tuliemuandika kazi baada ya kumpigia kura,kutosahau kuwa ni mtumishi wa wote bila ubaguzi.
Pia tungependa kumkubusha kuwa kutawala watu hakuhitaji degree ya chuoni bali hekima na utashi.
Huo ukweli lakin mambo hayo hayapo vichwan mwa watanzania kama ingekuwa tunawaza uongozi sio degree hadi muda huu mjadala wa bashite usingekuwepo lakin kwakuwa ndo kweny mwanya acha watu waongee yasio ya msingi et tuachie nchi yetu we nani mtu unaebet uachiwe nchi
 
Ukiona hivyo ujue wanaokosolewa wamezidi kukosea..!
Je nikweli wamezid kukosea hali ya uchumi dunian kote ni mbaya sasa watu wanataka tuishi kama tupo japani haiwezekani hata kama tuliahidiwa tukumbuke kuku hawezi kupata vingaranga bila kutaga na kutotoa
 
Tatizo sio kuwa tunasema yeye sio binadamu na hatakiwi kuwa na madhaifu......tatzo ni kwamba akiambiwa madhaifu au mapungufu au hata kukumbushwa inapoonekana hajaenda sawa anachukia na hataki.....thats the problem mister.

[HASHTAG]#Atubu[/HASHTAG]
Tatizo watu wanakosa uvumilivu hata baba unapomkosoa Fanya kumkosoa bila kuutoa ubaba wake
 
Kikwete hakuwa dhaifu Kama unavyo maanisha wewe.. He's very strong man and Great leadership
 
Huyu sultan wenu ndio dhaifu Kupindukia...muoga muongo mnoo kupindukia dhaifu wa nafsi mpaka roho.. Kikwete was brave man
 
Tangu mh. JPM kuingia madarakani mengi yameonekana akiwa kama binadamu hakosi madhaifu ila watanzania too much tumezidi kukosoa hatujui hata kusifia nauhakika kuna mtu hapa ukimuuliza jema moja la mh JPM atakwambia hana.
Mwisho wa kuwaza
Mungu anakosolewa na kitukanwa, wakati mwingine na walevi mbona hawachapi viboko badala take huwajaalia ridhiki walevi haya wapate kuishi na kesho. Mkuu pia uongozi huanza na familia mbona baba nyumbani akikosea hukodolewa? Tena wakati mwingine na kitoto kudogo
 
Back
Top Bottom