Mala ooh FB nilishaifuta miaka mingi iliyopita.
Anyway tenda mema kwa kuuza mali zako zote uwapatie masikini... vipi kama ukikuta haya niya kweli.
Vipi ukienda mbinguni ukaambiwa freemason ilikuwapo kwajili ya kusaidia masikini
Yaani havieleweki wewe ishi tu vile roho yako inasema
Pia watakuwepo viumbe wengine watakaoendana na hali hiyo either wewe mwenyewe ubadilike ili kuendana nayo. Kwanza Uwepo wa dunia haukuhitaji wewe ili uwepo.
Soma elewa kabla ya kucoment
Dunia haina mwisho kwa maana kwamba siku ya kiama (heaven and hell).
Dunia itaendelea kuwepo barafu zitayeyuka milima itaongezeka spishi zitakufa na nyingine kuzaliwa hata binadamu watabadilika taratibu sana kuwa kitu kingine au hata kufa kabisa kama ilivyokuwa kwa dinosaur mazingira...
Katika mabadiliko ya katiba tusisahau kuhakikisha kila halmashauri inajetegemea yenyewe hasa katika mapato yake inayokusanya yenyewe. Hii itasaidia kupunguza nafsi za kazi zisizo na umuhim lakni pia mamlaka makubwa ya mtu mmoja.
Badala ya kukusanya na kusipeleka serikalini kisha baadae kwenda...
Ikitokea katiba ikabadilika au katika mabadiliko machache machache ya ibara. Tusisahau uhuru wa kujitegemea kwa halmashauri katika mambo yake hasa mapato. Hii itapunguza upigaji katika serikali na kusaidia kupunguza nafsi za kazi zisizo na umuhim lakni pia mamlaka makubwa ya mtu mmoja...
Macho ndio yanaona na si mapicha picha kutoka ubongo
....ili kujua hilo washa taa kwa macho yako au kwenye chumba kilichokuwa giza kiujumla
....kipofu hata hilo giza halioni ni kama kujaribu kuona giza kwa kutumia kichogo. Ni kwamba hamna kabisa unachokiona
Basi asubuh yake natembea mdodomdogo naenda job niko so excited kwamba jioni nakutana na skola tena, sio kukutana tu kiufupi naenda kumla ila sikumwambia direct kwamba tunakutana ili iwaje. Basi najua mwenyewe alijiongeza kichwani how exactly would be. Basi Naimagine tu nitavyojilia mema ya...
Basi nilichokitegemea kweli ndio kikawa skola ananipenda basi akawa ananiambia aende nyumbani nikamwachia ila nilitamani niendelee kumkumbatia alikuwa anavutia sana yeye ni mfupi kwangu basi nilivyokuwa nimemkumbatia alikuwa kalalia kifuani kwangu huku tukiwa tumesimama barabarani, giza hapo...
Ipo hivi...
Kuna siku nilikuwa napita mahali nikamuona mtoto wa kike jina alikuwa skola nilikuja kumjua baadae ametulia kwao hio asubuh juani akawa ananiangalia sikumsemesha nikapita zangu lakini nikigeuka nyuma alikuwa bado ananiangalia basi mimi nikaachananae tu nikaendelea na mishe zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.