Basi asubuh yake natembea mdodomdogo naenda job niko so excited kwamba jioni nakutana na skola tena, sio kukutana tu kiufupi naenda kumla ila sikumwambia direct kwamba tunakutana ili iwaje. Basi najua mwenyewe alijiongeza kichwani how exactly would be. Basi Naimagine tu nitavyojilia mema ya...
Basi nilichokitegemea kweli ndio kikawa skola ananipenda basi akawa ananiambia aende nyumbani nikamwachia ila nilitamani niendelee kumkumbatia alikuwa anavutia sana yeye ni mfupi kwangu basi nilivyokuwa nimemkumbatia alikuwa kalalia kifuani kwangu huku tukiwa tumesimama barabarani, giza hapo...
Ipo hivi...
Kuna siku nilikuwa napita mahali nikamuona mtoto wa kike jina alikuwa skola nilikuja kumjua baadae ametulia kwao hio asubuh juani akawa ananiangalia sikumsemesha nikapita zangu lakini nikigeuka nyuma alikuwa bado ananiangalia basi mimi nikaachananae tu nikaendelea na mishe zangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.