Dah umeongea point sana.......sometimes nikitokaga Job naweka music anaoupenda nambambia kichizi...nikitoka hapo namwambia hivyo ndivyo nilivyokuwa nabambia kabla cjaoa....wife wangu ni mwanangu sana....nikizingua kwenye show ananambia mwanangu leo umeniparaza tu...6 yr now ...no mikwaruzo...
Dawa Ya vimende vile vidogo ni dawa fulani hivi ya mbu ...inafanana dizaini kama condom...chukua ile choma kwa jiko la mkaa funga mlango ...utakuja kunishukuru....inauzwa miambili tu.
Wadau account yangu ya udism Inagoma login yake na reset password bado inasumbua...hivyo mwenye PDF file ya udism...MUCE na DUCe round ya pili azitume.....msaada tafadhali wana jf
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.