Chomo
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 236
- 616
Hawa wadudu ni kero sana wanapokua ktk makazi yako.
Nimehamia nyumba fulan nimekutana na mazalia ya mende wadogo ambao wamekua wengi sasa..
Inafika hatua mtu umelala kitandani mende anatembea juu ya mwili,hali hii inakosesha usingizi
Na pia kuna choo cha umma wanatoka mende wakubwa wale na kuingia ndan,sasa imekua kero kupita maelezo.
Msaada ndugu zangu anaeijua dawa ya kuwamaliza kabisa hao wa chooni na hawa waliozaliana ndan ya nyumba
Nimehamia nyumba fulan nimekutana na mazalia ya mende wadogo ambao wamekua wengi sasa..
Inafika hatua mtu umelala kitandani mende anatembea juu ya mwili,hali hii inakosesha usingizi
Na pia kuna choo cha umma wanatoka mende wakubwa wale na kuingia ndan,sasa imekua kero kupita maelezo.
Msaada ndugu zangu anaeijua dawa ya kuwamaliza kabisa hao wa chooni na hawa waliozaliana ndan ya nyumba