Hongera mkuu! Mm nimemaliza mining hapa udsm. Mpango wangu ni kuanzisha crusher na ball mill nyarugusu geita. Unanishauri vipi katika hilo maana una uzoefu wa kutosha
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu husika na kichwa cha habari hapo juu. Kwa yeyote mwenye ufahamu wa Kuku, naomba kujuzwa eneo zuri, ambalo lina ni wazi sana halina msongamano wa watu kwa ufugaji wa kuku kwa mikoa ya dar na pwani. Lengo ni kufuga kuku wa kutosha na kulima mboga mboga na nyanya. Eneo liwe na uhakika wa...
Wakuu habari yenu
Mm kwa jina naitwa David Denis. Ni graduate enginner . Natafuta mke/mchumba awe chini ya miaka 24. Aliyeko tayari anitafute inbox
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.