Masters in science in project planing in monitorig and evaluation in health. MUHAS
Masters of science in monitoring and evaluation in health . Mzumbe UNIVERSITY
Masters in Arts in monotoring and evaluation . Open university.
Naombeni utofauti wa hizo kozi wadau.
Habari
Naomba msaada
Hii MASTERS OF ARTS IN MONITORING AND EVALUATION inayotolewa na open universty ipoje na ina uwanda mpana kiasi gani???
Je naweza kufanya miradi ya afya katika kitengo hicho au .??
Ninataka kuissoma ila natamani kuijua well kabla sijaingia vibaya.
Kindly assist
Wataalamu , mm ninasumbuliwa sana na hii shida ya genital warts.
Nimesoma uzi humu ukishauri kupaka kitunguu saumu.
Loohh
Kimeleta balaa kubwa maana kimefanya kama kuunguza na kuniachia vidonda.
Naomba wataalamu mje na wale ambao wamewahi kupitia hali hii...walitumia nn wakapona hili tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.