Ukipata taarifa za mtu aliyekosa kukuua mara kadhaa, haiwezi kuwa habari ya huzuni bali ni HABARI NJEMA.
Lisu naye ni binadamu kama ulivyo wewe, tena sikuwahi kukusikia ukinena mema juu ya IDD AMIN DADA wa Uganda, na hapo napata mashaka juu ya uwezo wako wa kufikiri