rodrick alexander
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 15,192
- 20,162
Nenda kwenye wakala wa mpesa utaona wameandika kabisa gharama za kutolea pesa kwa laini ambazo hazijasajiliwaKumbe kuna namba zinazotumika na hazijasaliwa bado ?
Mbon mimi walivyonifungia za awali, nikasajili HaloT, nilikaa nayo miezi miwili ,pia ikafungiwa
Mpaka niliposajili Ninazo tumia sasa.