Habari wana jamvi,samahani jamani kwa yetote yule anaejua matumiz ya io application walau kwa kifupi naomba ajaribu kunielekeza angalau nielewe hata kdg namna ya kuitumia
Ahsanteni sana
Hbr wana jmvi,kwa heshima kubwa naomba mnipe maujanja mbali mbali ya football ikiwemo sites mbali mbali za kupata habar za mpira au majna ya vtabu vilivyoelezea baadhi ya mambo ya mpira
Natanguliza shukrani
Hbr wadau,naomba kwa yeyote mwenye song LA dulla makabila linaloitwa hujaulamba anidondoshee nilipakue coz nimelitafuta kwny vyanzo mbali mbali nimelikosa
Natanguliza shukrani za dhati
Habar ndg zng,samahan naomba maelezo jinsi ya kutumia hii program coz nmejarbu kufuatilia jinsi ya kutumia lkn bdo kiza kmetawala!
Natanguliza shukrani
Habari wana JF,
Naomba mnisaidie, eti kondomu ipo kwa ajili ya kuzuia mimba tu na sio maambukizi ya UKIMWI? Maana Jana kuna mtu kanambia kuwa kondomu haizuii kitu endapo utashiriki na muathirika.
Je ni kweli?
Natanguliza shukrani
Habarin ndg zangu,naomba mnijuze bei za airmax fupi Na ndefu ambazo ni original kwa bei za kariakoo na kama ww utakua ni muuzaji kbsa itapendeza ukiniwekea na namba yko ya simu
Habari ndugu zangu,
Samahanini jamani, nimekuwa nashindwa kuzichukua baadhi ya video kwenye istagram, kwahiyo naomba msaada wenu mnijuze downloader itakayoniwezesha kupakua video bila shida.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.