Recent content by Indicator

  1. I

    CHADEMA yazidi kumeguka...!

    Kujibu post ya Shonza ni kupoteza muda; yafaa apuuzwe tu! Amevaa kanzu halafu anapiga serekasi.
  2. I

    Muhongo at the cross on Russian firm`s $205m tax

    TRA is wasting its time and resources; they better concentrate on reforming the law. It is not about oil or gas as URA's experience does not fit here. TRA us aware of Africa Mashariki Gold Mines' case; knows also why it failed to tax acquisition of Zain by Airtel. TRA should be aware of Vodafone...
  3. I

    Mwendesha Mashtaka Mkuu ICC atua nchini

    ICTR imashaanza kufungwa na wiki ijayo wanaanza ku-dismantle one of the court room. Kesi ambazo hazikuanza zimekuwa transferred Ufaransa na Rwanda, majaji walobaki ni wa rufani kwa ajili ya kusikiliza rufaa ambazo lazima ziwe over by mid-2014. Hivyo ICTR itafungwa rasmi 2014; Then tetesi kwamba...
  4. I

    Mwendesha Mashtaka Mkuu ICC atua nchini

    Fatou Bensouda alikuja kwenye mkutano juu ya Africa na ICC; 10 years on! Ulioandaliwa na Africa Legal Aid. Tulifanyia mkutano huo SnowCrest Hotel tar 28 & 1. Kwa kuwa ana hadhi ya kidiplomasia na kuwa alishapata barua ya LHRC, ulikuwa ni busara akutane na Mr. Dhaifu.
  5. I

    Tls na "majaji" wasio na sifa

    Mkuu HAGM hakuna kitu pale uoga mtupu; Kama si Tundu Lissu hata msingenong'ona. Prof. Dr. Wambali pamoja na kupewa jukumu kubwa kabisa la kuuhutibia mkutano ule was too lenient to the status quo. Nitawapa big up mkiniambia mmeshafungua mashauri ya kikatiba juu ya hilo. Hebu igeni hata kutoka kwa...
  6. I

    Tls na "majaji" wasio na sifa

    Habari wana JF, Naandika kutoa maoni yangu juu ya TLS na Majaji vimemo! Tumefika hapa sababu ya uzembe wa miongoni na Taasisi nyingine, TLS! Kazi ya hii Taasisi iaonekana ni kule hela za mawakili, zile laki sita kwa mwaka na kuendesha vikao! Msaada wake kwa Tasnia ya sheria, hasa tukiangalia...
  7. I

    Coaster 6 zapigwa mawe Kimara mwisho; ni za wapambe wa CCM wakitokea Jangwani

    Heshima JF, Katika hali isiyo ya kawaida, wana wa kimara mwisho wameyarushia mawe magari aina ya Coaster sita ambayo yalikodiwa kwa ajili ya kujaza uwanja wa jangwani. Gari hizo kwa taarifa nilizozipata kwa haraka katika upelelezi wangu ni kwamba Tatu zilikuwa zinaenda maeneo ya Kibaha na...
  8. I

    Miktano ya CHADEMA kusini watu wachache kuliko kawaida

    Mkuu nina wasiwasi na IQ yako! Hivi Mkoa wa Mtwara na Lindi una watu wangapi? Na je kata zao zina watu wangapi? Unategemea mkutano katika kata za Lindi na Mtwara iidhuriwe na watu 50,000 na wakati kata ina watu 500?
  9. I

    Kweli nimeamini jk na gambo ni pete na kidole

    Si Gambo na JK, bali Ridhiwani na Gambo; Nimewahi kunasa mawasiliano baina yao ambapo Ridhiwani alikuwa akipanga na Gambo jinsi ya kuoambana na Ole Millya; Hivyo U-DC wa Gambo ni mshahara kazi aliyotumwa.
  10. I

    Hukumu kesi ya mnyika hii hapa

    Magamba kazi ipo! Imagine hata kama kuna hizo kura 14850, unaweza ukatuambia unaziattribute vipi hizo kura kwa mnyika? Just like in Mpendazoe's case the fact kwamba kuna kijana alikamatwa na mihuri ya tume; how do you attribute that to Makongoro. Kama huelewi sheria, acha ku-coment, si lazima...
  11. I

    Makamu M/kiti BAVICHA taifa ni pandikizi au kapewa pesa haramu?

    Wana Jamvi, naona kama yupo humu ndani atakuwa amewaelewa. Binafsi nilimcall na kumweleza alichokifanya Heche hakikuwa sahihi kumjibu punguani Shibuda, lakini nikamweleza alichikifanya yeye hakikuwa sahihi zaidi kutakana na njia aliyoitumia. Nilimwambia kosa halirekebishwi kwa kosa. Kakubali...
  12. I

    Benki ime double mshara wangu kima kosa na mimi nime zitumia zote nina makosa wakifuatilia

    Una makosa kisheria, umeumia ukijua kuwa wamekucredit kwa makosa, you had to report that; "Money must have a specific source, does not come from the tree. If one sees some money in his account not knowing where the money comes from and uses it, then you cannot claim to have used it in good...
  13. I

    Mhe. Opulukwa ashinda kesi dhidi ya pingamizi alokuwa amewekewa

    Kwa mwendo huo, Magamba wamejiandaa kutuliza Ubungo. Watesama Mbona Meatu mmeshinda, Mwe! Washindwe na kulegea wana CCM wote!
Back
Top Bottom