Shida ni mshiko wa kugharamia... hakuna ambaye ameshawishika kuwekeza pesa zake kwenye sekta hiyo. Hivyo movie tunazoziona nyingi ni watu waweze kuganga njaa tu basi
Wamlipe pesa yake 20m lkn hiyo 30m kulingana na mkataba wa shindano ni kwa ajili ya promotion. Haiwezekana kwa namna yoyote ile igeuke kuwa mali ya mshindi. Vigezo na masharti ya kuingia kwenye mashindano lazima vizingatiwe.
Swala la C&P tunalikuza mno kwa msingi wa wivu na chuki binafsi hasa kutoka kwa mashabiki wa media tofauti tofauti. Hivi leo tukiangaza kuonglea vitu vinavyofanana kwamba ni C&P dunia isingefika hapa. Leo hii duniani ina makampuni mangapi ya simu? sio wote wali C&P kutoka wazo la mtu wakwanza...
Kama mwanachama na msomi ambaye alikuwa kwenye serikali alikuwa na nafasi nzuri sana ya kushauri hayo aliyoainisha kwenye barua yake ya kujiondoa Chadema. Ni hali ya kawaida kila anayetoka chama hakosi sababu hata rais wetu leo hii akiamua kubama chama hatokosa sababu.
Mimi kwa maono yangu ni...
Si vyema kusema hili swali ni gumu. Ila kabla ya kulijibu ni lazima wakati mwingine udadavue kujua kiini cha muuliza swali. Kitu cha kwanza msingi ni kuelewa maana na kwanini kuna ulimwengu wa Roho. Maswali mengine yote yatajijibu pindi mtu akielewa maana ya ulimwengu wa roho.
Kwa vile mimi ni...
Ukisikia mkuki kwa nguruwe ndo hii. Clouds walichelea meno yote nje wakati walipokuwa wanarusha matangazo makonda akiwadhalilisha watu. Nani asiyejua jinsi walivyomdhalilisha yule mama kwa maneno ya ovyo lakini bado clouds wakarusha tena kwa majigambo ya kupongeza Bashite.
Nani asiyejua jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.