Sasa kitakachofuata ni fujo kwenye misiba ya waliopoteza maisha. Manguli wote wawili watagombania kusimamisha benders zao. Ccm wakitaka kujua how Maasai and waarusha angry they are, wajaribu kusimamisha hicho kitambaa chao. R. I. P wote waliopoteza maisha.
So amaizing ndugu! Why oppressed in our own country? I think there's a need for change. Haiingii akilini kupitisha barua za maombi kwa wakuu wa wilaya bora wangesema zipite kwa wenyevit wa vijiji becoz huwa wanachaguliwa na wananchi wao. Au wanataka kusema kaz za wakuu wa wilaya ndo izo? Labda...
Jamani tusiwe wepesi kutoa taarifa ambazo hatuzifahamu. Unaposema mtu mmoja kafariki unafurahishwa na nini hasa. Madaktar hawajathibitisha mtu kupoteza maisha we umepata wapi?
Mungu ni mwema hakuna limshindalo. Mi nashangaa why ni kanisa katoliki tu? Au bcoz wasomi ndo wamejaa huko na misisim ndo imeamua kupigana nao? In the name of Jesus Christ hawataweza kupigana nasi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.