Huo bila shaka ni uamzi mzuri kwani utapisha muda wa kuomboleza na kufanya mazishi kwa wapendwa wetu, lakini pia seikali ijaribu kufanya jitihada za makusudi kubaini wale wote waliohusika.
poleni sana wana arusha! Viva cdm! Mungu mbele sisi nyuma!
Kufuatia tukio la mlipuko jana jumamosi Arusha, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imeahirisha chaguzi za madiwani katika kata zote nne (4) jijini arusha hadi jumapili ya tar 30/6/2013.
Poleni wote mlioguswa na tatizo hili.
-----------------------------
wahusika ni serikali ya Kikwete.. Unadhani watajichunguza? The hegue inawasubiriHuo bila shaka ni uamzi mzuri kwani utapisha muda wa kuomboleza na kufanya mazishi kwa wapendwa wetu, lakini pia seikali ijaribu kufanya jitihada za makusudi kubaini wale wote waliohusika.
Afadhali watu hawatapiga kura kwa jazba na taharuki. Huu sio wakati wa kuchagua chama. Hatuwezi kuvumilia watoto wetu kuuliwa hivi kisa madaraka. Shame on you both.
Tukirudi tunachagua mtu sio chama