Recent content by inahusu

  1. I

    JamiiForums Tanzania Mabomu yanarushwa angani Tegeta/Mbweni-Dar es Salaam

    Mkuu hata mimi nimeshtuka sana na nipo mbali na mbezi beach ila mlio ulisikika karibu sana. Vipi ilitangazwa kwenye vyombo vya habari kutakuwa na fataki zitapigwa?
  2. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    Mkuu kama ni usawa basi uwe usawa na sio wizi...! Za mume za kufichwa na kutanulia za mke za kulisha familia na kujenga! Pana usawa hapo?
  3. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    Naomba nijibu hoja: Nilifahamu kabla ya ndoa kuwa kuna watoto wengine na niliambiwa watakuwa wanaishi na mama yao as mama yao hataki kuwaachilia. Ila moyoni nilijiwekea kwamba vyovyoye vile ni sawa wakija kuishi na baba yao au waishi ma mama yao. Mkuu sikuvunja ndoa ya mtu, nilikuta wameachana...
  4. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    Lol Mentor niache mwenzio nipumue unaniandama leo hahaha
  5. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    asante mdau iryn Nadhani kwa aliyewahi kukumbwa na tatizo hili anajua ugumu wa suala lenyewe hata kulizungumzia tu kwa kuwa masuala ya properties kwenye ndoa ni sensitive. Lakini naamini hii haimaanishi mwanamke atoe tuuuu hatakama anaumia ili ajenge ndoa! Leo nasikiliza zaidi maana kuna wenye...
  6. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    anakiita "chetu" but ni "chake" legally! La sivyo mbona hataki kukiweka "chetu" kimaandishi?
  7. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    amu Nakupata sana mamy
  8. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    Umeona eee... yaani kuna majibu mengine ya wanaume dah!
  9. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    Asante mkuu kampelewele Sikuanza hivyo ila kuna viashiria nilivyoviona vikawa vinanipa cold feet. Hivi ni kwa nini mwanaume mwenye uwezo wa kutunza familia yake adanganye hana uwezo ili mkewe amtunzie wanawe wanne wakati yeye akila bata tu? Baada ya hapo nategemewa nisiwe na wasiwasi wowote...
  10. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    bhikola Napata point yako mkuu, but hukuweka possibility that the man might indeed be kwenye route ya kutaka kunitumia na sio fears za "mwanamke mpumbavu" tu! Kwani hatujayaona haya kwenye jamii yanatokea? Asante kwa ushauri wako
  11. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    Mkuu atoto karibia nilie mwenzio... tafadhali usinicheke katika kipindi hiki kigumu kwangu, nina mawazo kibao. Kama una ushauri naomba mkuu
  12. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    Tafadhali fafanua zaidi mkuu ili kupata mawazo chanya Kikristo Kwa nini unasema hakuna ndoa hapo mkuu? Kwa mawazo yako nini kirekebike ili kuokoa hiyo ndoa?
  13. I

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Mume wangu ananiachia majukumu

    Habari zenu, Ni hivi nimeolewa, mume wangu ana watoto 2 kabla ya ndoa yetu nasi tuna watoto wawili. Wote ni waajiriwa nje ya jiji la DSM. Baada ya kuoana tukaanza maisha nikajikuta naachiwa majukumu ya kutunza nyumba. Jamaa kila nikimuuliza anasema hana hela na haishi sababu ambazo mimi zikawa...
Back
Top Bottom