Recent content by Immortal Techniques

  1. Immortal Techniques

    Nahitaji mwekezaji wa kuwekeza milioni 50 katika Hotspot Business, mtaji utarudi ndani ya miezi 6

    Imetosha ,itoshe kusame unaijua hii business na unajua unachokifanya wajinga wachache wasiota ka kuelewa wasikuyumbishe kwanza hawana hela always thinking risks na ni pessimistic
  2. Immortal Techniques

    Samia ,Traore chungeni ndimi zenu na waheshimu Mabeberu

    #Iran ni Swala la Muda Wala si mbabe Kwa America ,zipo strategic reason why USA can't attack Iran in a full scale war ,na sababu ni Saudi ,Qatar japo ni Maadui wa Iran ,,,Iran will never posses nuclear war
  3. Immortal Techniques

    Samia ,Traore chungeni ndimi zenu na waheshimu Mabeberu

    Raisi wa Colombia aliambiwa na Trump is better watch is Ass. #Ufransa Macron akatoa maoni Palestine itambulike Trump akambia your opinion doesn't no matter,
  4. Immortal Techniques

    Samia ,Traore chungeni ndimi zenu na waheshimu Mabeberu

    We We jamaa eti mishikaki ya chatu
  5. Immortal Techniques

    Thadei Kweka aachiwa huru

    Wataanzia wapi
  6. Immortal Techniques

    Thadei Kweka aachiwa huru

    Hivi na yule waliyesungizia ni Mwajeshi wa marekani kakamatwa na mabomu vipi# Dah serikali zetu za kiafrika Zina movie za kishamba sana ,USA soldier kwanza akifanya makosa Kwa Sheria zao anashitakiwa marekani tu si vinginevyo
  7. Immortal Techniques

    Nashukuru sijala Krismasi

    #Matako yake hajui anacho ongea, punguzeni chuki Kila mtu abaki anacho amini ukiponfa ukiristo ,Uislam ni Imani na utamaduni wa mwarabu ni vyema kuweka mstari mwekundu # tuheshimu Kila mtu Imani yake whether ni Pagan or believer.
  8. Immortal Techniques

    PostGE2025 Elezea kinagaubaga jinsi mabeberu wanavyohujumu nchi yetu

    Hata bunduki mnazotumia kuchapia Rai ni za mabeberu earudishieni mtumie mapamga na manati ndo vyenu wanatamba ujinga tu
  9. Immortal Techniques

    PostGE2025 Elezea kinagaubaga jinsi mabeberu wanavyohujumu nchi yetu

    Kalibia asilomia 99 ya watawala Africa wana account over seas Kwa mabeberu wakiumwa wanaenda kutibiwa Kwa mabeberu hizi non sense zakuonea wivu wakawauzie vichwa panzi wavivu wakufikiri, Wanakula sahani Moja ma mabeberu kutuhujumu wananchi wa chini kabisa
  10. Immortal Techniques

    Nimekaa Leo nimemsikiliza mzee Warioba kwa umakini, huyu mzee hafai kabisa!

    Last warning anakuja kutoa JF ,katoe hazarani kama kidume kweli huh
Back
Top Bottom