Tanzania inasikitisha nashukuru nimeikimbia kidogo..huku haya mambo yapo lakini sio too much kwenye mitandao hivi...mitandao huku wat wanadiscuss..real social and love issues..utakuta mtu hapo ana miaka 30
ila kusema ukweli...nimekuja kugundua watanzania tuna IQ ndogo sana...kuna mambo yanaendelea hapa DMV ni utoto na ujinga sana...mtu yupo US lakini anajikomba CCM apate madaraka..watanzania tuna matatizo ya akili..
ningeendelea kusema ila basi inatosha sana..nafikiri nifanyakazi nzuri na kubwa..na mind u mm sio mtu wa ovyo kama unavyofikiria..hizi assumption achana nazo jf kuna watu humu acha kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.