Wanawake wa staili hii, wanakera mno

Wanawake wa staili hii, wanakera mno

USHAURI KWA MABINTI-KAMA MWANAUME HUWEZI KUMPENDA AU HAJAKIDHI VIGEZO VYAKO, MTOSE SIKU ILEILE YA KWANZA ,SIO KUKUBALI KINAFKINAFKI! fyuuuuu

Wewe ndo inabidi ujitose. Wakati mwingine kumwambia mtu sikupendi inakuwaga ngumu. Lakini muhusika anatakiwa ajipime mwenyewe na kufanya maamuzi magumu.
 
Kwani mwanamke akikupa ndo anakupenda?vuta subira kijana mambo mazuri hayataki haraka tatizo lenu nyie tukishawapa papuchi dharau zinaanza na muda mwingne mnakimbia kabisa ,siku zote mwanaume unayempenda usimpe papuchi mpk ndoa akivumilia huyo ndo Mr.right uliyekuwa unamsubiri

'*****, mr right my shoe. Wahuni washasugua had una sugu na gaga hafu mie ndio ningoje mbuzi gunian. Kwa mwendo huo mtasubiri sana kuolewa na mtaishia ku attend harusi za wanaojielewa
 
Hapo kweli... nina demu ninamtongoza nampenda ila akaniambia anajamaa wake, nikajidai sielewi somo nikamkazia sana akaanza kuniita my, mara luv.. lakini kumuacha jamaa ake hataki na mimi akiona ninataka ku give up niwaache na jamaa yake anakua mnyonge kuonesha hajakubaliana na uamuzi wangu huo, kwahiyo hapo na mimi ninajipa moyo labda atamuacha jamaa yake, hapo na mimi nafanyaje wadau!??
Inategenea lengo lako ni nini. Kama ni kuoa hakika utajutia uamuzi wako. Kama ni kupita njia chapa ikalale.
 
Bora ya ww hamjafanya lolote,mie nimemgegeda kabisa tena kwa ufundi na speed za kueleweka.But ths time anasumbua ni balaa.Akija home hatak kuguswa!! sijui ndo wale madem wanaotaka nguvu kila wakati? Lakini siku ya 1 yy mwenyewe alitoa kila kitu.
 
'*****, mr right my shoe. Wahuni washasugua had una sugu na gaga hafu mie ndio ningoje mbuzi gunian. Kwa mwendo huo mtasubiri sana kuolewa na mtaishia ku attend harusi za wanaojielewa

Wanojielewa ndo wakoje, wanaotoa papuchi mapema?
 
ila mademu wa bongo wana shida sana kwenye hili...wana maigizi mno..na sitaki nataka kibao
 
Nyie wanaume ndo mnaoandika mnataka mabikira, we unadai mzigo umeulipia?
 
Duh!..kwan n bikra....au ndo brand new for the second hand!
 
achana nao utakuwa sawa na kusubiria meli airport,kwann asiseme ukwl km ana mtu mwingine,jiongeze she is money oriented....
 
Wanojielewa ndo wakoje, wanaotoa papuchi mapema?

Wanaojielewa wanajua sex ni part of bonding hvo akiona ww ni right choice kwake atakupa kipapu K... Wasiojielewa ndio wale wachafanya ufuska weee haf akipata mtu mpya eti anajidai saint na hali karibia nusu ya mtaa wamemvua.


Ktk mahusiano kila mtu ana past hvo kama mhusika haikubali past yake basi hajielewi na atakusumbua mbelen
 
'*****, mr right my shoe. Wahuni washasugua had una sugu na gaga hafu mie ndio ningoje mbuzi gunian. Kwa mwendo huo mtasubiri sana kuolewa na mtaishia ku attend harusi za wanaojielewa

Kweli jina lako linasadifu kile ulichoandika
 
nani afanye ujinga huo yaani nipasuke hela halafu mwisho wa siku unitelekeze bila hata ya kukujua unafikiri hatuwajui usaliti wenu kwenye mapenzi

Hivi kuna haja gani kumpatia demu hela akt ht hujamueka ndani vitu vingine mnawazoeha wenyew kama anakupenda hivo hivo bila kumhonga atakuvumilia mnawaendekeza wenyew
 
Kuchati au kuwa busy ukiwa na mimi unaweza kula kofi za kutosha.

Hakupendi ila ni MALAYA. (Samahani kama hupendi kuusikia huo ukweli)
 
Bado hajakukubalia,yaani unakubaliwa lkn puchi unatoswa halafu unasema umetongoza umekubaliwa, kakutosa kimjimjini huyo na mpaka ustuke ushaonga kila kitu.
 
Kwani kukataliwa hujui? au nafsi yako inakwambiaje? au ndio mwanamke wako wa kwanza? ukiona hupewi attention unayo itaka na bado unapenda basi zidisha mwekundu wa msimbazi au jipange....
 
Back
Top Bottom