Recent content by IMMA1

  1. I

    Natafuta kiwanja Kigamboni

    Mngekua mnaweka mambo wazi mngeweza kuuza kwa haraka. Sijui wabongo tumerogwa na nani hutubadiliki kwa nini.
  2. I

    Wazazi wetu na kauli zao

    Huwez kumsikiliza mzee nilichomeka nakuchomoa sana nashkur hadi leo haijakatikiamo.
  3. I

    Wazazi wetu na kauli zao

    Duh nakumbuka Niliambiwa we rukaruka ma waschana wako hao "Itakatikiamo nakwambia"
  4. I

    SOLD: Printer inauzwa

    Inaprint colour na black. Kumbe black sio colour.
  5. I

    Ligi ya Uingereza: Tanzania mambo huwa hivi

    Mwanza nyamanoro hapo.
  6. I

    ATM MACHINE

    Uki Ukitaka kujua kuwa ukisemacho ni sahihi. Angalia myu anaulizwa unataka risiti ya muhamala huu na anakubali lakini kwa kuwa pesa inatoka kabla ya risiti anasahau kama aliiomba.
  7. I

    Ushauri, safari ya Dar-Mwanza: Basi gani ni zuri kupanda kwa sasa?

    Nimefika hm kutokea mza mda si mrefu. Kwa route hiyo darlux yuko vizuri.
  8. I

    Nimempokonya Rushwa Traffic Katoka nduki Kunifukuza

    Usirudie tena iyo kitu kwa polisi wa njii hii.kuna siku utajua namaanisha nini.
  9. I

    Kwa wale mnaofurahia kuitwa "Bae"

    Kwa mfano maana halisi ya Demu.. Ni dekio.
  10. I

    Mke wa jirani yangu anakuja kuangalia Tv kwangu kila siku, inanikera sana!

    Anataka na wewe uangalie tv yake huelewi nini??
  11. I

    Hiki ndicho Kikosi changu Bora cha Simba Sc Toka karne ya 21 Ilipoanza mpaka sasa

    Hu Huwezi kumuacha Seleman Matola hapo.
  12. I

    Natafuta frem ya duka Mwanza mjini

    Kama kichwa kinavoeleza, Nahitaji frem ya duka mitaa ya Lumumba, Rwagasore soko kuu nje upande wa Tanganyika bus mwenye kujua chochote anisaidie.
  13. I

    Bank gani nzuri kufunguA fixed au saving account?

    Bitcons ni nini ndugu nisaidie kidogo.
  14. I

    Bank gani nzuri kufunguA fixed au saving account?

    Maelezo mazur sana mkuu haya tupe bei.
Back
Top Bottom